Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Whitch doctors hadi JF?da kweli nyie noumah mnaenda na sayans+technology

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Whitch doctors hadi JF?da kweli nyie noumah mnaenda na sayans+technology

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hakuna witch doctor anayeshauri utumie chakula kutibu matatizo yako ya afya. It is only modern science.
 
Jamani nyie waganga wa kienyeji mtatumaliza sasa! Kweli hayo matatizo yote uliyoyaorodhesha kuna mtu atakosa kweli? Mbona mnataka kufaidika kupitia mapungufu yetu?
pole kwa mapungufu!!
 
Daah,the hand that gives shall receive,nashukuru sana kwa kujitolea kwako kaka,darasa la bure jamani tulitumieni,na yeyote mwenye jambo jema kwetu asiwe mchoyo aliweke jamvini tule wote!!!
 
Asante sana dt mtsimbe nimepitia blog yako ninzuri sana kwa kweli imenifunza mambo mengi na nlikupm kukuuliza kitu lkn hujanjbu thnx
 
Habari wana JF,nahitaji msaada wa haraka jamani,nimekaa nikiteseka na fibroids kuanzia 2007 na nimeishatoa Mara mbili,Nina multiple fibroids...sasa imefika kipindi nashindwa hata Kushika mimba sababu hiyo sababu imeota Katika kizazi,jamani nimechoka sana sasa hivi nadhan labda nigeukie dawa za kienyeji tafadhali Kwa yoyote anaefahamu naomba msaada...
 
Hapana sijapata mtoto bado,zaidi ujauzito uliharibika
Duh!Pole sana,najua unapitia kipindi kigumu sana katika maisha,vipi ushafanyiwa operation mara ngapi kutokana na hilo?
 
Hapana sijapata mtoto bado,zaidi ujauzito uliharibika
fibroids nihatari sana kwa mtu ambaye bado hujapata mtoto kwasababu inapunguza sana uwezekano wa kupata mimba, ninarafiki yangu alikuwa nazo baada ya kufanyiwa operation ikawa ndio hata hiyo mimba yakushika nakuharibika hakuna tena namwingine alipogundulika anazo ikabidi kwenye ile stage ya kwanza alishauriwa na daktari abebe mimba fasta kabla hajafanyiwa operation ilipofika wakati wakujifungua akafanyiwa operation ya mtoto na ya fibroids at the same time.
Sasa hayo ya kwako yatakua yamekuwa sana yemeshafikia kuharibu mimba nakushauri usibebe mimba tena kwa sasahivi hadi yatolewe ili kupunguza hatari ya kuharibika kwa mimba tena.
Pia sio guarantee kwamba ukifanyiwa operation hutapata mtoto tena ukimwomba Mungu mweza wa yote atakusaidia dada, sawa?
 
Asante nashukuru sana..sasa tatizo hata hospital kunifanyia operation wana sema niko kwenye risk since nimekua na makovu....:help::help:
 
Mkuu, Pole kwa kusumbuliwa na fibroids. Ninayo hiyo dawa ya kulimaliza kabisa tatizo lako ila ni ya kienyeji siyo ya kizungu. Ni PM nikupe mawasiliano.
 
Back
Top Bottom