Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Wazungumzia kutoka muheza@Hornet?ni kweli hahitajiki kufanya operation i agree with you
hapana hii inatoka Arusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungumzia kutoka muheza@Hornet?ni kweli hahitajiki kufanya operation i agree with you
Akifanya Operesheni huenda uvimbe ukarudi tena ila nikimpa dawa zangu uvimbe hautarudi tena atatumia dawa zangu kwa muda wa siku 21 na atapona kabisa na kusahau kama anao uvimbe kwenye mfuko wake wa kizazi.Nashukuru sana, nitakutafuta.
Dhaaa hizo ni habari njema,nashukuru sn mkubwa.Akifanya Operesheni huenda uvimbe ukarudi tena ila nikimpa dawa zangu uvimbe hautarudi tena atatumia dawa zangu kwa muda wa siku 21 na atapona kabisa na kusahau kama anao uvimbe kwenye mfuko wake wa kizazi.
Ni dawa ipi ? na inapatikanaje jamani,tusaidiane.
Hata Muheza ipo na it works,basicaly hata haya mambo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
Ok nitaipataje sasa dawa hiyo? asante kwa taarifa.IPO dawa bei yake 35000 inasafisha kila kitu.
Asante sana,nitafanya hivyo,barikiwa.jaribu kuingia kwenye youtube.kuna watu wengi wametibiwa bila kufanyia operation.andika natural fibroid treatment.fanya hivyo kwani operation ya fibroid ni pesa nyingi.try hivyo kabla ya kwenda mbele kwanza.
Madhara yake kuondosha kizazi utakuwa tena hutozaa maisha yako hayo ndio madhara mengine ya kuondosha kizazi hakuna .kuna madhara yoyote ya kuondoa kizazi kiafya?
Yu mazafaka,sometime uwe unajaribu kubehave basi, we mtu ana matatizo we unakuja krupukrupu na kuanza kuropoka utafikili umetoka kunya chooni ukatoka bila kutawaza,sasa hizo mimba wakati anazichomoa ulikuwa kwenye Cervix yake ukishuhudia zikitungwa na kutolewa.Lione kwanza kubwa zima lakini jinga,Shenzy type mkubwa.
Mkuu mariam lawrence mimi ninayo dawa ya kukutibu maradhi ya Uterine Fibroids ukihitaji Dawa ninaweza kukupa dawa utatumia na kupona ukiweza kunitafuta bonyeza hapa.Mawasilianohello mimi ni Mwanamke mwenyewe umri wa miaka 26 nina tatizo hilo mdamrefu na sasa nna mtoto ingawa nilizaa kwa upasuaji sasa kwamaelezo yako naogopa inamaana siwezi kupata mtoto mwengine tena kwani imekaa kwenye njia ya kizaz na nikijamiiana na mmewangu huwa na kihisi anakigusa please naitaji ushauri nitumie kwa email mariamlawrence97@gmail.com