Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

56% Hayo ni matokeo ya wanawake kutumia njia za kisasa kupanga uzazi na
40% wengi wao wanahistoria ya kutoa mimba na 4% ni sababu nyingine
 
Je, waamini unachokitumia wewe kina ubora sawa na wakitumiacho whites? Pia kumbuka kuna long term impacts. Vile vile
sio kila uvimbe kisababishi ni contraceptives.
 
Kabisa, hayo madawa yamesababisha hata sehemu za uke kuachia sana na kuwa mabwawa tena ya baridi badala ya kubaki katika uzuri wake kiasili, ndiyomaana kuku wa kienyeji(Ke wasiotumia hizo dawa) ni watamu sanaa Chifu.
Daaaaahh,huwa unazichunguza hizo ke?Wewe ni mtaalamu wa nyuchi?Au wewe ni wale wanaoitwa mwanaume mashine?Hahahahaaaa!!
 
Hiyo ya kukata hedhi ni ujinga.Damu zisipotoka na kubaki tumboni/njia za uzazi ni hatari zaidi.
 
Nilishaapa sitakuja kutumia hayo madonge yao ya uzazi calender ndio the best imagine njia nyingine za uzazi zinawasababishia wanawake pressure, kizunguzungu, kubleed non stop, Mara upasuaji, kwa niliyo ya shuhudia acha tu nizae mfululizo, hizi njia za kisasa ni janga
 
Chemicals wanatumia,wengine wanakunywa madawa sijui wawe weupe,waongeze makalio,wengine wanakunywa madawa yanayotangazwa kwenye mitandao ili wapate ujauzito.
 
Daaaaahh,huwa unazichunguza hizo ke?Wewe ni mtaalamu wa nyuchi?Au wewe ni wale wanaoitwa mwanaume mashine?Hahahahaaaa!!
Nimeshazifanyia utafiti kupitia mimi mwenyewe nikiwa naruka ruka enzi hizo hatimaye nimeona yote bila Mungu ni ubatili mtupu.
 
Labda tayari mzungu kishapandikiza magonjwa,,nawambiaga wazungu si watu wazuri,,bora wachina,wahindi,waarabu na warusi
 
Shida kubwa sio matumiz ya njia za kuzuia uzazi bali ni kuzuia kuzaa either kuwe kwa njia ya kisasa au matumiz ya kalenda. Hii hupelekea mayai kuanza kuleta hitilafu Kwenye mfumo wa uzazi. Binti anakuja kujifungua mimba ya kwanza ana miaka 35 kuanzia akiwa na 17 yeye ana bana tu ni hatari sana
 
mkuuu umenena haswaaaaa na umenikonga.
 
Wanawake waache kutumia vidonge vya uzazi wa mpango,hiyo ndio sababu kubwa.Tumeacha uzazi wa mpango ambao Mungu alituwekea katika miili yetu kwa sababu ya tamaa za kimwili tukakumbatia udanganyifu wa Shetani,kwa hiyo tubebe msalaba wetu.Vidonge na vijiti vina nia ovu tano:
1.Kumuua mhusika.
2.Kupunguza idadi ya watu duniani.
3.Kuua watoto matumboni na waliozaliwa mpaka kizazi cha NNE cha mhusika.
4.Kuleta mateso ya muda mrefu kwa mhusika.
5.Kufanya watoto wanaozaliwa mpaka kizazi cha nne wawe mazezeta na wenye tabia zisizoeleweka.Walaaniwe Margaret Sanger na Marie Stopes,watumishi wa Shetani waliotukuka kwa kuleta Planned Parenthood au Uzazi wa Mpango.


Picha ya Margaret Sanger.👇






Picha ya Marie Stopes👇

 
...Ila tusisahau bandugu hao wanao tumia madawa ndo wale baadhi tunao wala tunda kimasihara wakijaga kwnye magheto yetu au wale tunaowabembeleza adi mtoto wa watu huruma inamuingia anakupa tunda afu akitoka apo anaenda kubugia hayo madawa...

Some time nikifikiria wanaume tunahusika kwa asilimia fulani katka haya majanga....

Poleni sana wanawake mnaopitia haya majanga kwa huruma zenu na udhaifu wenu...
 
Inawezekana hata wewe umeathirika na uzazi wa mpango mkuu,kwa hiyo usishangilie sana.Nimesema vidonge vya mpango vinachangie watoto wanaozaliwa kufa,au hata wasizaliwe kabisa wafie tumboni au hata wakizaliwa wakikua wawe na tabia zisizoeleweka.Je,wewe una tabia zinazoeleweka?Huvall suruali matakoni?Sio muasi kwa jamii na wazazi wako nk.?Mkuu kama mama yako aliwahi kutumia hivyo vidonge,lazima umeathirika na wewe.Athari ni mpaka kizazi cha NNE kutoka kwa mtumiaji wa kwanza.Na kumbuka kama hukufa tumboni kuna janga lingine ulikumbana nalo, chanjo.Uzazi wa mpango na chanjo vinapokezana vijiti.Wamehakikisha kwamba kama ulipona vidonge utakumbana na chanjo,so they have you covered.Haya mambo ukifahamu undani wake yanatisha sana.
 
hapo mchawi ni contraceptives tu
 
Aseee [emoji22][emoji22][emoji22]
 

Hivi unakijua kweli ulicho kiandka mkuu,embu tulia afu rudia kusoma nilichokiandika then angalia na ulichokiandka...

Ninawasiwasi na wewe either akili yako au elimu yako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…