Mkuu BAK Wameshindwa Ma-Daktari kumtibu huyu bibie kamsongole Mimi nitampa dawa yangu atatumia na atazaa inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu na atakuja hapa kukupeni feedaback.
Yamekukuta eeeeeeeeehhhhhh!!!! Ndio faida za kuchoropoa mimba hizo. Unaona sasa ndoa yako ipo hatarini. Hii iwe fundisho kwa kina dada wanaopenda kuchoropoa mimba tano hadi kumi, kisa eti wanatunza usichana!!!!
Mimi nimeolewa mwaka wa nne sasa. tangu nilipofunga ndoa niligundulika kuwa nina uvimbe na nikaambiwa na madaktari kuwa lazima nifanyiwe operation na kutolewa kizazi. sina mtoto hata mmoja hivyo nikakataa kufanya hiyo operation. Nimejaribu kila dawa imeshindikana. Naomba msaada wenu nifanyeje ndugu zangu. Naona maisha yanakuwa kitendawili sasa.
Mimi nimeolewa mwaka wa nne sasa. tangu nilipofunga ndoa niligundulika kuwa nina uvimbe na nikaambiwa na madaktari kuwa lazima nifanyiwe operation na kutolewa kizazi. sina mtoto hata mmoja hivyo nikakataa kufanya hiyo operation. Nimejaribu kila dawa imeshindikana. Naomba msaada wenu nifanyeje ndugu zangu. Naona maisha yanakuwa kitendawili sasa.
Mkuu BAK Wameshindwa Ma-Daktari kumtibu huyu bibie kamsongole Mimi nitampa dawa yangu atatumia na atazaa inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu na atakuja hapa kukupeni feedaback.
mkuu@Maundumula akinitumia Email huyu bibie kamsongole nitaweza kumsaidia asiponitumia email sitaweza kumsaidia .Jaribu na Mzizimkavu ila ikishindikana naona hamna option itabidi ufanyiwe tu hiyo operation.
pole sana kwa huyo ndugu yako bibie FirstLady1 Ukinitumia email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com au ukini Pm nitaweza kukusaidia kukupa ushauri ili aweze kupona usipo fanya hivyo hapa siwezi kutoa ushauri wangu asante.Nina ndugu yangu pia anatatizo la kutozaa amejaribu kila kona ila sio memba wa JF unanishaurije Ndugu
mkuu@Maundumula akinitumia Email huyu bibie kamsongole nitaweza kumsaidia asiponitumia email sitaweza kumsaidia .
Bibie kamsongole Kama dawa zangu ni za majaribio bora ungelimaliza matatizo yako hospitali si wameshasema kuwa uodolewe kizazi? unagopa kitu gani tena ? wakati ndio uzima wako huo kuondolewa kizazi unaogopa kitu gani tena?shauriana na mume wako uondolewe hicho kizazi.Mzizimkavu ntakutafuta ili tusaidiane, lakini nahisi kama nishakuona na wewe vile katika pitapita yangu ya kujaribu dawa.
Mkuu.@Maundumula Ni kweli kama yupo Serious nina muhakikikishia akitumia Dawa yangu kwa muda wa mwezi mmoja kisha aende kupima atakuta hana tena huo Uvimbe ((fibroid) kwenye tumbo lake la uzazi la kama hayuko Serious ninamuacha kama alivyo sawa mkuu.Kama yupo serious atakutumia.
pole sana kwa huyo ndugu yako bibie FirstLady1 Ukinitumia email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com au ukini Pm nitaweza kukusaidia kukupa ushauri ili aweze kupona usipo fanya hivyo hapa siwezi kutoa ushauri wangu asante.
Yamekukuta eeeeeeeeehhhhhh!!!! Ndio faida za kuchoropoa mimba hizo. Unaona sasa ndoa yako ipo hatarini. Hii iwe fundisho kwa kina dada wanaopenda kuchoropoa mimba tano hadi kumi, kisa eti wanatunza usichana!!!!
Yu mazafaka,sometime uwe unajaribu kubehave basi, we mtu ana matatizo we unakuja krupukrupu na kuanza kuropoka utafikili umetoka kunya chooni ukatoka bila kutawaza,sasa hizo mimba wakati anazichomoa ulikuwa kwenye Cervix yake ukishuhudia zikitungwa na kutolewa.Lione kwanza kubwa zima lakini jinga,Shenzy type mkubwa.
Mimi nimeolewa mwaka wa nne sasa. tangu nilipofunga ndoa niligundulika kuwa nina uvimbe na nikaambiwa na madaktari kuwa lazima nifanyiwe operation na kutolewa kizazi. sina mtoto hata mmoja hivyo nikakataa kufanya hiyo operation. Nimejaribu kila dawa imeshindikana. Naomba msaada wenu nifanyeje ndugu zangu. Naona maisha yanakuwa kitendawili sasa.
Last week shemeji alilazwa Aghakan kwa ku-breed mfulilizo hadi damu ikapungua mwili na akagundulika ana Uvimbe (fibroid), ushauri wa daktari bingwa anaitwa Dr Shafiq ni huu: Akamwuliza mna watoto wanagapi? shemeji akajibu wa3,kama mnataka kuongeza mwingine ni vizuri mkafanya hivyo hili tatizo la kutoka damu litasimama kwa muda kwani hakuna MP wakati wa ujauzito baadae mtakuja niondoe kizazi,shemeji na mumewe wakajadili na kukubaliana ya kuwa watoto wametosha ni bora atolewe kizazi awe na afya bora alee watoto vizuri,sasa unaposema kutopata mimba kunasababishwa na huo uvimbe sielewi maana moja ya solution ya kutuliza kwa muda ugonjwa huo ni kubeba mimba.