Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Wewe hujawahi chanjwa? Hebu acha kututisha watu tuna watt wachanga na bado chanjo hajamaliza. Tunawaombea Mungu atawafanya wawe vichwa na sio mikia
Sawa,samahani kwa kukutisha mkuu,mpeleke mtoto akachanjwe.
 
Hizo p2 maximum kama sikosei sijui ni mara moja kwa mwaka. Na huruhusiwi kumeza kama hujawahi kuzaa . wanachostahili kujua watumiaji wa hizi njia za uzazi wa mpango ni kwamba ziba very bad effects kwenye mfumo mzima wa uzazi kuanzia kwenye mfumo wa mawasiliano na ubongo,level of production ya mbezi, na mfumo mzima . na mbaya zaidi wanatumia kwa kuambizana kati yao na si kuuliza wataalam
Hatari Sana hizi p2 watu wanameza ka karanga
 
Nikikutana na 'Wapumbavu' wa mfano wako huwa siwaachi Kwanza hadi nihakikishe nimewarekebisha hasa Uwezo wa Kufikiri na wawe na Akili pia.
Hahahaaaa inawezekana namjibu chizi wallah
Au machungu ya kutopandishwa mshahara miaka mitano unayaleta kwangu
Pambana na hali yako
 
Hahahaaaa inawezekana namjibu chizi wallah
Au machungu ya kutopandishwa mshahara miaka mitano unayaleta kwangu
Pambana na hali yako

Mshahara wangu napewa na ninaboreshewa kila mwaka na 'aliyekuzaa' kwa Kazi yangu ya 'Kutukuka' kabisa Kwake katika ile Medani ya Kibaiolojia.
 
Hii hali si ya kawaida.Nimeshashuhudia na kusikia wanawake wengi sana wakisumbuliwa na uvimbe wa tumbo pamoja na tumbo kutoa usaha pindi wakifanyiwa upasuaji.

Idadi imekuwa kubwa mno mpaka nimeona nije kuleta hii mada humu jamii forums tuweze kupata ufumbuzi.

Mfano mzuri ni huyu muigizaji wa bongo dar es salaam anayeitwa Carina amefanyiwa upasuaji mara tano na tumbo lake linatoa usaha tu na mpaka sasa bado hajapata nafuu.

Pia nilivyosikia hii hali ikiendelea kwa muda mrefu inapelekea kansa.

View attachment 1548854
Ni suala la kiroho zaidi sio kawaida km ulivyosema!
Na ukicheza unaondoka!
Mungu tu ndo anaweza kuponya,wengi wanafanyiwa upasuaji lkn hawaponi

JESUS IS LORD[emoji120]
 
sana asee nakumbuka kuna nyakati nilikua tz nikaenda kwa project mikoa flan flan hali kule mbaya asee watoto wanahimizwa hayo madude mashuleni kabisa kuzuia upatikanaji mimba holela

Hali mbaya sana mbeleni
Too bad

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Hahahaaaa inawezekana namjibu chizi wallah
Au machungu ya kutopandishwa mshahara miaka mitano unayaleta kwangu
Pambana na hali yako

Cheka yako hii ni ya 'Kishoga / Kitambaliziwaji' zaidi au labda na Wewe ni 'Mwanachama' Mwandamizi mwenzao na unamtafuta Mteja wako hapa?
 
You remind me of a nasty, smelly and sticky dirt on the bottom of my shoe.
You belong to the sewers mister.

Kiingereza chako ni cha Darasa la Tatu ambacho hata Mwanangu 'Junior GENTAMYCINE' hakizungumzi. Jitahidi uwe 'Wordsmith' kama Mimi sawa?
 
Kiingereza chako ni cha Darasa la Tatu ambacho hata Mwanangu 'Junior GENTAMYCINE' hakizungumzi. Jitahidi uwe 'Wordsmith' kama Mimi sawa?
You poor lad!
Kinacho kusumbua nafsi si kingereza bali moyo wa ukaidi kutokubali kuwa umewakosea watanzania wenzako kwa msimamo na matamshi hasi.
Negative thinking si uungwana.
Worst part, you are defending your negative thinking.
And thats what reminds me of that smelly, nasty dirt!
 
Jibu ni rahisi tu, vipimo... hapo awali havikuwepo kwenye hospitali zetu!
Hili ndio jibu..
Zamani watu walikua wanakufa kimya kimya unasingiziwa uchawi lakini sasa diagnostic capability inaonezeka na watu wanakua diagnosed mapema kabisa.

Ingekua mwaka 2001 ungesikia huyo msanii kafa kifo cha ghafra tu.
 
Back
Top Bottom