Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi



Sasa hatambuliki Kama yeye ni TISS au Mwanajeshi atapelekwaje huko??
 
Kwamba sabaya,magufuli,na mpango waliunda genge la kijambazi la kuua kutesa na kupora watu Mali zao!!
Sabaya was a typical crook,blackmailer hata kabla ya kupewa u DC.
Huko nyuma alikuwa anawatishia watu kuwa ni TISS,hadi akakamatwa na kitambulisho fake cha TISS na kufunguliwa mashtaka akiwa mwenyekiti wa mkoa wa UVCCM Arusha.
Magufuli alifanya terrible blunder ya kumshirikisha Sabaya katika kazi chafu,sasa ameanza kuilambisha mchanga serikali ya CCM. Akifungwa na akiamua kutunga kitabu cha madhambi ya serikali awamu ya tano ...........
 
Sabaya aitakuwa alitumwa na mamlaka, lakini ninalo liona hapa, Sabaya sio sehemu ya ile mamlaka.

Sabaya alitumika tuu kufanikisha kazi za mamlaka;
Mosi, kwa kuwa alikuwa katika nafasi ya kufanya hivyo kwa nafasi yake ya kisiasa.

Pili, alikuwa na sifa za kuweza kufanya hiyo kazi, na ilikuwa na sehemu ya kazi chafu za mamlaka.

Sasa, sabaya alifanya kazi na sehemu kubwa ya waliomtuma hawapo tena, waliopo nao hawako tayari kumtetea Sabaya kwa Boss mpya.

Hivyo, ushahidi wa sabaya amefanya makusudi kuwataka magufuli ambaye hayupo, ila kamtaja mpango na Gavana wa BOT.

Na akaenda mbele zaidi kusema ana siri zingine hawezi kusema kwa sababu alishakula kiapo ( yawezekana hakuna hata siri) , ila anafanya hivi ili wao ndio wamnasue
Kitanzini.

Sabaya na mawakili wake sio mafala watoe ushaidi ambao ni kama anakiri kosa.


Transcend, 2021.
 
Acha kunchanganya usalama wa chama na usalama wa nchi,
Ni vitu viwili tofauti Pamoja Hawa wa chama wanatabia ya kufosi.
 
Bibi anafanya anachokijua ktk hii ishu spinning nje nje na character assasination ndo target ya bibi. Lakini, jpm atabaki ni jpm na hawatafanikiwa kamwe kumpaka vinyesi vyao vya magogoni/msoga.


Sasa Sebaya ndio keshamuingiza JPM katika Uhalifu alioufanya, na ikithibitika ni kweli alikuwa ameagizwa huoni Kama JPM atakuwa amechafuka na zile nadharia zote kipindi akiwa hai zitakuwa zimepata ushahidi wa wazi
 

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ridia ulichokiandika. Google utafute ukweli from decided cases on similar issues raised by Sabaya
 
Kszi maalumu wanamahakama zao..

Ndio maana maelezo yake yanaonekana Kama porojo,
Hajui wapi pakusema nini.

Kama angekuwa kitengo Kama maelezo yake yanavyomtambulisha, kwamba alipewa kazi maalumu na Mkuu aliyemteua, asingetoa maelezo ya hivyo kwenye Mahakama kuu ya kiraia ilhali anajua kuna Mahakama zao
 
Hao ndiyo watu walioingizwa kitengo bila mafunzo wala uzoefu wa kazi.
Mtu anabwabwaja kuwa yeye ana kazi maalum na ana flash kitambulish cha UWT ovyo.
Hao watu wamelalamikiwa sna na wako wengi.
Wanawatia aibu hata Proffessional Intelligence Officers waliofunzwa na kupikika.

\lakini wananchi tunajua kuwa Magufuli is partly to blame kwa kuidhalilisha proffession ya Intelligence, yeye alikichukulia kitengo kuwa idara ya visasi na coercion.
Intelligence ni proffession ambayo si tu infundishwa kwa miaka bali ina practicals ambazo ni za kiuhalisia zinafanyika leaving no trace.

Huyu Sabaya alikuwa kama Boy Scout, sasa anabwabwaja ovyo kuwa alipelekwa kazi hizo na Mgufuli, Mpango na Gavana wa BOT.
What a shame.
 
Ni mjinga tu ndiye ataelewa huu upuuzi. Kama alitumwa kweli, kwa nini Hakuwapa huo ushahidi wapelelezi wakajiridhisha na kumfutia mashtaka kabla ya kumpeleka mahakamani.....!!?
 
Ni mjinga tu ndiye ataelewa huu upuuzi. Kama alitumwa kweli, kwa nini Hakuwapa huo ushahidi wapelelezi wakajiridhisha na kumfutia mashtaka kabla ya kumpeleka mahakamani.....!!?


Kusema hivyo moja Kwa moja ni kuichafua serikali iliyopita. Sijajua yote haya mwisho wake utakuwaje Ila kama atathibitisha atazidi kuwapa nguvu Wale waliokuwa wakimsema JPM
 
... sisi tunangoja ushahidi tuu, yaani alete kimemo au clip ya simu aliyopigiwa na MKULU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…