Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Lakini TISS si ni wale wale
 
Anamdhalilisha au walijidhakilisha kuongoza nchi kihalifu Mshana Jr ?!
 
watu wengine huwa wanaropoka tu bila kuzama kiundani kuhusu kitu ,unaambiwa alibaka wake za watu hotelini ,alipiga na kuteka watu ,aliiba hela .... tuyaachw yote ayo ila kubakiwa mke wako huku unaona acheni upuuzi ...huyo jamaa alitumwa kubaka watu, kama alipokea maagizo toka juu naamini hayakuwa yakubaka ....acha afungwe acheni useng#
 
Kwani Rais aliyemtuma si alishakufa tayari utasemaje anamuacha adhalilike wakati hayupo duniani tena.
 
Kweli ashirkirie hapo hapo hadi gerezani asiachie.karibu kisongo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Unachekesha kweli kweli

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna taasisi ya Urais wa wakati huo. Taasisi ya Urais ni ile ile ingawa inapata viongozi tofauti. Hiyo taasisi ndio huwajibika kwa kila jema na baya la Rais wa nchi. Rais hapangi mambo mwenyewe, kuna channels na hizo hazikufa na JPM!

Hizo channel zinajua kila alichokuwa anafanya Sabaya, ila seems imekuwa handled recklessly. Unapokuwa completely unsecured unapigania pumzi yako tu, ndicho anachofanya Sabaya! Haya mambo huko mbele yatakuja kuigharimu CCM.
 
Hata mimi nimeshangaa.
Hivi majasusi huwa wanatumwa kubaka watu na kuwaibia pesa?
Hakuna jasusi anaetumwa kubaka watu na kuwaibia, jasusi hawezi kutumwa kubaka (kwani afya yake ni kipaumbele)
Jasusi hawezi kutumwa kuwaibia watu bali huwezeshwa kwa kila kitu ambacho kitamsaidia kufanikisha task aliyotumwa.
 
Ndio maana wenzetu American, Russian and likewise, jasusi anapopangiwa kazi kama ya kuua, basi nyuma yake kuna jasusi mwengine kwa ajili ya kumfatilia mwenendo wake, na huyu anaefatilia mwenendo wa jasusi wa kwanza nae nyuma yake kuna mtu anaemfatilia, waweza kuwa hata watano. Na endapo wa kwanza akifanikisha mission bila kujulikana basi ameokoka yeye na waliopo nyuma yake na endapo akifeli basi kwenye mlolongo wa wote watano anaesalimika ni mwisho pekee.
 
Hakuna jasusi anaetumwa kubaka watu na kuwaibia, jasusi hawezi kutumwa kubaka (kwani afya yake ni kipaumbele)
Jasusi hawezi kutumwa kuwaibia watu bali huwezeshwa kwa kila kitu ambacho kitamsaidia kufanikisha task aliyotumwa.
yes kiufupi yule alikuwa muhuni tu kama muhuni mwingine.
Hiyo ya kukutwa na vitambulisho ilikuwa ni kiki ya ujana tu au usela mavi
 
Asome kitabu Cha Njama kilichoandikwa na Musiba atamwona WILLY GAMBA alivyokuwa akitekeleza majukumu yake katika operation zake,,Sabaya hakuiva kuwa TIS vijana hawa wanaiaibisha mamlaka
 
kesi hii ishaisha maana Sabaya amekiri kosa.
 
Kumbe unaambiwa? Nilijua ulikuwepo akibaka.umbea hausikilizwi mahakamani
 
Sabaya aliwahi kushitakiwa kwa kosa la kujifanya Afisa Usalama wa Taifa.

Na wakati huo alikuwa mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha.

Sasa ukiniambia Sabaya ni jasusi, ninapata mashaka kwamba inakuwaje jasusi ashitakiwe kwa kujifanya jasusi?
Nadhani swala la msingi ulitakiwa uulize ni inakuaje kada wa chama anakuwa mwana usalama?
 
Sasa unakubali kwamba magufuli alikua muuaji na jambazi? Kama sio kwann amtume sabaya kufanya mauaji na ujambazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…