Ni wasenge Tu wanaoweza mlaumu sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo , Raisi kumfukuza kazi sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofsi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo ma-mae, et ujasusi , ujinga mtupu
Katika makosa kuna kufanya kitu kinaitwa kosa kwa public interest. Kwa mfano, wakati anakamata mashine ya kutengenezea fedha haramu, ingetokea purukushani akajeruhi mtu, kujeruhi ni kosa, lakini asingekuwa pinpointed yeye mwenyewe, na Identity yake wakati wa hilo zoezi, haikuwa sabaya.
Inapotokea kwenye missiona kama hizo, amekwenda kukamata mitambo ya fedha, halafu akaanza kubaka kwa mfano, hiyo ni personal offence, na kama anageshitakiwa kwa kubaka, hapo utetezi wa kwamba alikuwa kazini ni null and void, kwa kuwa hakuwa ametumwa kwenda kubaka, na kubaka hakukuwa na uhusiano wowote wa kumsaidia akamlishie kazi yake.
Alitumwa kuwakamata waharifu, na kukamata uharifu, hiyo ndiyo JD yake. Habari za kuenda kupigia watu makele usiku kucha na kudai mamilioni ya fedha kwa wafanya biashara nako alitumwa na nani?
Ni lazima watu watambue mipaka ya kazi. Ujambazi si sehemu ya kazi na hivyo haiwezi kuwa utetezi.
Hata hivyo ninaona Sabaya anachengesha. Haongelei jinai zake, badala yake anakimbilia kusema matukio rasmi aliyokuwa anafanya kazi halali za kukamata wafua noti bandia. Lakini hakuna kesi inayohusu kosa lake la kukamata mitambo ya fedha kwa kuwa hiyo ilikuw akazi halali. Aongelee tuhuma zile zingine kama nazo alitumwa na nani?
ULEVI NA KIBURI CHA MADARAKA VINA MWISHO. HERI MTU YULE AMBAYE BWANA NI KIMBILIO LAKE. MAANA HATAONDOSHWA