Binafsi sitashañgaa kuona hilo likitokea kwani kwao hiyo ilishakuwa ni sera ambayo inatekelezwa na wanajua jinsi ya kulindana.Yaani ati umetumwa kuua alafu unakamatwa unasema nimetumwa kuua. Hivi hata mtoto mdogo si atakushangaa Kwa ujinga.
Hata Kama umetumwa kazi na mkuu wako, ukaioa jina kazi maalumu na ambayo kimsingi huenda ni Uhalifu lazima utumie akili kuitenda, na ukishikwa utakayewajibika ni wewe 100% .
Sasa hawa ndugu zetu wanakuambia Kwa vile katumwa ataachiwa, inashangaza kweli
Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.
Ni sahihi kwakuwa yuko hatua ya kujiteteaIssue za uhalifu Sabaya anasema hazifahamu, kakana kuchukua pesa yoyote kwa mtu yeyote wala kumtishia mtu bastora
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwaNi wasenge Tu wanaoweza mlaumu sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo , Raisi kumfukuza kazi sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofsi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo ma-mae, et ujasusi , ujinga mtupu
Ni sawa mkuu lakini sio katika mambo muhimu hasa ya usalama wa nchi...Angalia Kenya kwa mfano hakuna kitu atachokifanya Kennyatta na Rutto asijue( Mambo muhimu ya nchi). Tatizo letu Tanzania tulijisahau kuwa Makamu ndiye Rais number mbili na ndio maana walikuwa wanapewa saana wale wenzetu pale jirani kama kuwatuliza kuacha kelele za kudai nchi yao. Tumekujakustukia sasa hivi.Sio enzi ya mwendazake tu lakini si kila kitu anachoarifiwa Rais na makamo lazima aambiwe! Yako mengi sana makamo huwa hawaambiwi na sio Tanzania tu bali duniani kote.
Nakuambiaje acha hakuna kitu anafanya Kenyata eti Ruto asijue! Vyombo vya ulinzi na usalama vyote vinareport kwa Kenyata sio Ruto! Ruto anaweza kuambiwa ila si lazima yote anayoambiwa Kenyata.Ni sawa mkuu lakini sio katika mambo muhimu hasa ya usalama wa nchi...Angalia Kenya kwa mfano hakuna kitu atachokifanya Kennyatta na Rutto asijue( Mambo muhimu ya nchi). Tatizo letu Tanzania tulijisahau kuwa Makamu ndiye Rais number mbili na ndio maana walikuwa wanapewa saana wale wenzetu pale jirani kama kuwatuliza kuacha kelele za kudai nchi yao. Tumekujakustukia sasa hivi.
Lakini kumbuka watakuwa ndio wale wale.Ni kawaida kwa wafuasi wa CCM kuwa mbumbumbu, hili halijifichi. Yaani na wewe hapa umejiona mjanja na kwamba umeargue kisheria?? Mtafute hata Mwenyekiti wa mtaa wako atakusaidia kuliko wewe mjuaji usiyejua.
Jambo zito unalijua wewe , yeye kasema basi , kama walishindwa kutambua Hilo na wote wapo DSM wanakula bata yeye anasota rumande leo limekuwa Jambo zito , mara ngapi tuhuma za sabaya anapelekewa Maghufuli na Maghufuli anapiga kimya , means alikuwa anajua Kwa usahihi what is going on , Leo hii ofisi hyo hyo inamgeuka na kujifanya wema , huo usenge na upumbavu hakuna anayeweza fanya.....
Na nusu mshahara bado inaingia kila mwezi. Akishinda kesi hela zetu za miamala zitamlipa fidia.Sabaya anajua anachokifanya. Bila shaka wanasheria wake sio mafala kihivyo na walichekecha pros & cons ya hiyo move na wakajiridhisha kuwa ina faida zaidi kwao kuliko madhara.
Labda Taasisi ya Urais ndio imemwambia aseme hivyo. Tutajuaje? Harafu ni kweli technically bado ni mtumisgibwa Serikali maana hakufuzwa bali alisimamishwa tu kupisha uchunguzi
Just imagine this.Na nusu mshahara bado inaingia kila mwezi. Akishinda kesi hela zetu za miamala zitamlipa fidia.
Basi maandalizi yake yalikuwa na mashaka sana.... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.
In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.
Ni wasenge Tu wanaoweza mlaumu sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo , Raisi kumfukuza kazi sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofsi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo ma-mae, et ujasusi , ujinga mtupu