Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Status
Not open for further replies.
dr slaa ndo anaharibu vjana wake maana hata uwezo wao wa kufikiri umekufa. ndo maana hata mawazo yao yanapinda
 
Unataka utafuniwe? UWT=Usalama wa Taifa =TISS=Tanzania Intelligence Security System!!! hiyo W nimefanya upper case makusudi!! Khaaaaaaa!!! Omba mwongozo kwa spika!!

umebugi man, kwanza hatuna chombo kinachoitwa usalama wa taifa, bali tuna Idara ya Usalama wa Taifa. ukitafutia kifupi chake kwa kiswahili utachemka maana utaleta kitu kingine chenye tafsiri tofauti kama ulivyoingia chaka.
 
Nashukuru. nimejaribu kupitia wote waliojadili topic hii hadi sasa nimeona kuwa akina mbhulula ni 99% wenye uelewa wao hawajaingia, pindi wakifika watajua nilichoandika ni nini.
Kutukana siyo ILANI YA CHADEMA. bali ilani ya CHADEMA ni uchambuzi wa mambo kwa kina.
 
sikiliza vizuri acha kutumia akili kufugia nywele badala ya kufikiri

Wanataka mabandiko mangapi ndiyo wakutoe kwenye probation list; ama ndiyo unaweka mazingira ya kuomba advance.
 
Maccm yalipo kuwa yakisema CUF ni chama cha waislam na CHADEMA ni chama cha kikristo muheshimiwa alikuwa busy anakula panadol lndia hakuyasikia sivyo?
 

Asante kwa ufafanuzi. Nimejifunza mengi.
 
hawa jamaa sioni faida yao nawaona sawa na magaidi au wanafanya kazi kwa maelekezo ya idara ya uenezi ya ccm boss wao ni na pe
 
acha uongokaka!!!mimi nimekulia katika familia ya mwana tiss tangu enzi za mwalimu,kuna maeneohuwezikujificha.kwa mfanowilaya kama za makete au ileje, ukiwa ofisa wa tiss utajulikana tu, we ndo utavaa vizuri, utaonekana unauwezo wa kununua bia, vijana wa nmb na wanawake watataka uwe rafiki yao, kila mtu atataka kukujua we nani. na kwa bahati mbaya ofisi ni moja gari lilelile.
 
Dr.babu anajua yote haya kuhusu umuhimu wa tiss na kazi zake pamoja na mafanikio. Ila kwa kuwa ana tamaa ya madaraka na ushauri anaopewa na CDU ni kukisambaratisha kwa kupoteza imani ya wananchi kwa chombo hiki .watz tusibiruzwe na wanasiasa uchwara kwa maslahi yao binafsi, tutafakari kabla ya kushabikia mambo yasiyo na msingi. Ciao.
 
Ili mtu aujue uchungu na siku nyingine asilete kidomodomo, dawa ni hii sasa hivi, ni lazima mtu ajutie matendo yake.
Wapi Ulimboka? kimyaaaa! ushasikia anahamasisha madaktari wagome?.

 

Huyo hawezi toa ushahidi kwani majority yao wanaongozwa na ndoto(Nightmares) potofu. Njozi zao zinawapelekea kuona mambo ni mepesimepesi kwa hiyo wanajua kwakienda Ikulu wataibadilisha Tz for one night, very bad feelings! Nachoogopa kwa sumu inayomwagwa against TISS ni kwamba itawawia vigumu sana kuongoza nchi watakapopata madaraka.
Nafikiri hawa wanasiasa uchwara waache mchezo wao mchafu wakuipaka tope TISS kwani mchezo huu ni mbaya sana kwa taifa letu. Wao waendeleze siasa zao kwani suala la usalama hawajui . Manake sikuizi kila mtu anajiona ni makini na anajua masuala ya usalama wataifa very sad!
 
Na imagine CDM wamechukua madaraka 2015.....Mkurugenzi wa TISS anateuliwa kuwa kamanda Lwakatare....Mwanakijiji (T&T ex) msaidizi wa Lwakatare........duuhh! si mchezo.......CCM lazime watashika adabu.....lol
 



naona umetimiza ILANI YA CHADEMA kwa kuwaita wenzako "MBULLULA"
 
Maccm yalipo kuwa yakisema CUF
ni chama cha waislam na CHADEMA ni chama cha kikristo muheshimiwa
alikuwa busy anakula panadol lndia hakuyasikia sivyo?



kamanda naona umetimiza ILANI YA M4C. kwa lugha chafu
 

I have the right to speak my mind. If you are not amused by my opinion about TISS then just tell us what you know instead of talking nonsense.
 

If you believe in what you say why don't you call a press conference in daylight and say this rubbish to the Tanzanian people? And, if you know that there are "wahuni" in TISS why don't you report them to the police so that they are dealt with according to the law? What you say here are exaggerated lies intended to tarnish the image of a State Security Organ of which you do not know how it operates. You are simply a failure. Shame on you!
 
Shutuma dhidi yaTISS ni sawa na shutuma zinazomkabli mama wa kambo. ni kawaida kabisa. ni dhahiri kwamba serikali ina wajibu wa kuonyesha ni nani anawang'oa watu meno na kucha kwa kuwa ina vyombo. ikiwa haifanyi hivo itaendelea kubeba lawama za mama wa kambo. sasa watu wasemeje mazimwi, majini au? afadhali zamani kulikuwa na ujinga vitu vya namna hii walisingiziwa mumiani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…