jingojames
JF-Expert Member
- Mar 12, 2010
- 886
- 452
toauti ni kubwa sana,enzi za mwalimu TISS ilikuwa inafanya kazi kwa kuzingatia weledi na katiba na sharia za nchi bila kusahau ETHICS za kazi zao ambazo zinahitajiconfidentiality ya hali ya juu!na msingi wa kazi yao ni kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa dhidi ya yeyote anayetaka kuhujumu!na pia target kubwa ya TISS ya mwalimu ilikuwa kuhakikisha viongozi wetu wa ngazi za juu mawaziri,wakuu wa mikoa na vigogo wote kwy mashirika ya umma na tahasisi mbalimbali wanazingatia ETHICS kweney utendaji wao hivyo TISS ilikuwa inawafuatalia kwa karibibu viongozi waliokuwa wanakiuka MIIKO ya uongozi kama ilivyoanishwa kwenye AZIMIO LA ARUSHA.TISS ya JK Kazi ni mabingwa wa kungoa meno na kucha bila GANZI, kutesa na kutelekeza watu kwenye msitu wa PANDE kama vile Dr.Ulimboka,Kibanda.