Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo
Wewe Kijana huna lolote ! lengo lako ni kuvuruga uzi huu , hivi unadhani kuna Great thinker utakaye mshawishi na hizo propaganda zako ! kama mpaka leo hujajua uozo wa Tiss basi bila shaka utakuwa mgeni nchi hii , na wala hakuna haja ya kukuelewesha , maana unajua , bali umeingia kwenye uzi huu kwa kazi maalum , endelea kujidhalilisha !