utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
Tiss ilimuokoa mbowe kule tarime asiuawe na wananchi walipomtuhumu kumuuwa chacha wangwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia kipimo gani kudhani wewe ndiyo unajua?
Tiss ilimuokoa mbowe kule tarime asiuawe na wananchi walipomtuhumu kumuuwa chacha wangwe
kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya
Utofauti wa TISS
Enzi za Mwalimu @ TISS kulilinda taifa na watu wake.
Enzi za Dogo wa bongo flava @ TISS kuliangamiza taifa na watu wake.
Kama una ndugu au mtu yeyote anaefanya kazi TISS umwambie hakuelimishe majukumu ya kada hiyo nyeti kwa taifa.
Kwa kukudokeza japo kidogo tu ili upate picha na kuachana na upotoshaji!, soma haya yafuatayo;
1. TISS ina idara zake, zipo za ujasusi, mahusiano ya kimataifa, PSU, mawasiliano na uchumi. Tuhuma za CHADEMA sidhani kama zinakaa kokote katika hizi idara. Na kama wanamjua wanaemtuhumu, waende polisi wakapeleke mashtaka yao ili hatua stahiki zichukuliwe.
2. Faida ya kuwa na idara hii kwa sasa ni kubwa kuliko awamu yeyote ile, nakupa mfano, katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote wa taifa lolote, atakae kanyaga katika ardhi ya nchi yenye usalama wa sintomfahamu. Wote tunashuhudia wanavyopishana viongozi wa mataifa mbalimbali airport kuja hapa nchini. Ni jambo la kujipongeza.
3. Swala zima la utalii.
4. Mahusiano ya kimataifa.
5. Umoja, amani na mshikamano wa watanzania.
Kama mpaka leo bado TISS ipo chini ya utawala wa Kikwete, na hayo niliyoeleza yanazidi kuimarika, basi hawa TISS wa sasa ni bora zaidi ya awamu zote zilizopita.
Enzi za mwalimu TISS
aliyejulikana ni yule atakayepewa wilaya / mkoa na ngazi zingine za juu
lakini wengine wote walikuwa hawajulikani na utakuta hata ndani baba
hajui kuwa mkewe ni TISS. lakini wa leo nenda wilaya yeyote halafu uliza
watumishi wakuorodheshee kama hawajakupa list yote mpaka huwa
wanapumzika wapi wakivizia taarifa za wapinzania.
Hata kariakoo sokoni ukipita na ukiuliza makuli wanakwambia mbona ni
fulani na fulani
kweli kabisa hasa huku uswahilini kwetu utawaona bar wakitamba waziwazi kuwa wao ni usalama yaani inatia kinyaa na aibu lakini pia inachekesha kweli
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:
loh USOKU wa giza umepaniki mpaka unakosea na wewe ni mmoja wao ninin?Wewe unajua kazi
zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za
mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo
hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua
mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo
ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila
hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana
tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
kiongozi unajuaje kuwa unachokijua wewe ndicho kilicho sahihi unaweza pia ukawa umemezeshwa visivyo.
au wewe upo huko?
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:
mkuu, hao ni maafisa usalama wa chadema ambao hutumia mbinu hizo za kujitambulisha kwenye baa ili wajipatie vinywaji vya bure maana hawa jamaa wana njaa kweli. pia wanatumia mbinu hiyo ili kuichafua idara ya usalama wa taifa
Ukiniambia mambo ya mburula nakushangaa, wala sikuelewi, lakini nilikuwa na maana kuhusu TISS ni kutumia kitu kizuri kwa njia tofauti ni sawa na kutumia mswaki wako kusugulia chooni, ndiyo hivyo baadhi ya TISS wanavyo tumika, hayo mambo ya mburu... kamwambie shangazi yako!sure. waambie mburula hawa
Wewe akili zako finyu. Usalama gani wa taifa usiolinda maslahi ya Uchumi ya nchi na watu wake? Mwenyewe unajiona unajua? Usidhani unajibishana na laymen wasojua chochote.Unaweza kuleta ushahidi wa hizo allegations? Au unashabikia tuu propaganda za chama chako cha CHADEMA???? SHAME ON YOU! HUNA UNALOLIJUA KUHUSU TISS HIVYO UTABAKIA KUAMINI POROJO ZA WAJINGA WENZAKO...