Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Status
Not open for further replies.
mkuu nini unachokielewa kuhusu tiss kama siyo maneno ya kuokota ndiyo unayotuambia uaweza kubainisha namna tiss ya nyerere na ya jk inavyofanya kazi mkuu acha kutuletea nadhalia tunataka fact mkuu siyo maneno.

hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo
 
mkuu nini unachokielewa kuhusu tiss kama siyo maneno ya kuokota ndiyo unayotuambia uaweza kubainisha namna tiss ya nyerere na ya jk inavyofanya kazi mkuu acha kutuletea nadhalia tunataka fact mkuu siyo maneno.
Sidhani kama umenielewa au umejawa na jazba tuu.Kama umewasikiliza Wassira na watetezi wengine wa TISS ni kuwa waitetea kwa kutoa mifano ya ukombozi wa bara la Africa,tishio la usalama wakati wa vita nk nk.
Lakini Idara hii haikupata kushambuliwa huko nyuma kwa sababu haikuwa na makosa kama haya yanayotokea sasa, kama kweli iko makini ndege ya jeshi la nchi nyingine yaweza kutua na kuchukua wanyama hai na isijulikane? Ofisa wa Idara anawezakutajwa na mtu aliyetekwa kuwa kahusika na asichunguzwe? EPA,Meremeta,Deep green nk yanatokea na hawajui au hawachukui hatua kama wajibu wao nakunyamaza?
Kutetea Idara hii kwa mifano wa yaliyo kuwa yanafanywa huko awali ni uzandiki kwani wa awali hawajawahi kushutumiwa bali wa sasa.
 
Nimemsikia Wassira akitetea TISS kuwa imefanya kazi nzuri sana na akakumbusha enzi za ukombozi kusini mwa Africa na haiwezi kun'goa watu kucha. Pia wabunge na mawaziri wengi wamekuwa wakirejea maneno hayo hayo katika kuitetea TISS.
Ninalotaka kujua hawa wanaotoa utetezi huo wanaelewa linalotuhumiwa na wapinzani? Wapinzani hawana wasiwasi na historia ya Idara ya Usalama wa Taifa na kazi nzuri zilizofanywa katika vipindi hivyo vya nyuma,lakini wanazungumzia utofauti wa utendaji ule wa weledi wa zamani na huu wa sasa.
Kwa nini Hawa CCM wanaitetea TISS kwa kutumia historia ya awamu zilizopita na sii kwa utendaji wa sasa? Au hawaelewi hata ni lipi wanalisemea?
Binafsi siwezi kuwalaumu TISS. Wanakwenda na mfumo wa uongozi uliopo. Wakati wa Nyerere kulikuwa na mfumo wa ujamaa na kujitegemea, na leo tuna mfumo wa soko holela. Kazi ya TISS ni kulinda mfumo uliopo. Don't blame them. Blame the administration which came into force by the power of your vote.
 
sidhani kama umenielewa au umejawa na jazba tuu.kama umewasikiliza wassira na watetezi wengine wa tiss ni kuwa waitetea kwa kutoa mifano ya ukombozi wa bara la africa,tishio la usalama wakati wa vita nk nk.
Lakini idara hii haikupata kushambuliwa huko nyuma kwa sababu haikuwa na makosa kama haya yanayotokea sasa, kama kweli iko makini ndege ya jeshi la nchi nyingine yaweza kutua na kuchukua wanyama hai na isijulikane? Ofisa wa idara anawezakutajwa na mtu aliyetekwa kuwa kahusika na asichunguzwe? Epa,meremeta,deep green nk yanatokea na hawajui au hawachukui hatua kama wajibu wao nakunyamaza?
Kutetea idara hii kwa mifano wa yaliyo kuwa yanafanywa huko awali ni uzandiki kwani wa awali hawajawahi kushutumiwa bali wa sasa.
poor analysis.... Full of lies.
 
Alieanzisha mada na wachabgiaji wote njioni hapa koner bar mnywe bia bili kwangu
 
Nimemsikia Wassira akitetea TISS kuwa imefanya kazi nzuri sana na akakumbusha enzi za ukombozi kusini mwa Africa na haiwezi kun'goa watu kucha. Pia wabunge na mawaziri wengi wamekuwa wakirejea maneno hayo hayo katika kuitetea TISS.
Ninalotaka kujua hawa wanaotoa utetezi huo wanaelewa linalotuhumiwa na wapinzani? Wapinzani hawana wasiwasi na historia ya Idara ya Usalama wa Taifa na kazi nzuri zilizofanywa katika vipindi hivyo vya nyuma,lakini wanazungumzia utofauti wa utendaji ule wa weledi wa zamani na huu wa sasa.
Kwa nini Hawa CCM wanaitetea TISS kwa kutumia historia ya awamu zilizopita na sii kwa utendaji wa sasa? Au hawaelewi hata ni lipi wanalisemea?

Kama una ndugu au mtu yeyote anaefanya kazi TISS umwambie hakuelimishe majukumu ya kada hiyo nyeti kwa taifa.

Kwa kukudokeza japo kidogo tu ili upate picha na kuachana na upotoshaji!, soma haya yafuatayo;

1. TISS ina idara zake, zipo za ujasusi, mahusiano ya kimataifa, PSU, mawasiliano na uchumi. Tuhuma za CHADEMA sidhani kama zinakaa kokote katika hizi idara. Na kama wanamjua wanaemtuhumu, waende polisi wakapeleke mashtaka yao ili hatua stahiki zichukuliwe.

2. Faida ya kuwa na idara hii kwa sasa ni kubwa kuliko awamu yeyote ile, nakupa mfano, katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote wa taifa lolote, atakae kanyaga katika ardhi ya nchi yenye usalama wa sintomfahamu. Wote tunashuhudia wanavyopishana viongozi wa mataifa mbalimbali airport kuja hapa nchini. Ni jambo la kujipongeza.

3. Swala zima la utalii.

4. Mahusiano ya kimataifa.

5. Umoja, amani na mshikamano wa watanzania.

Kama mpaka leo bado TISS ipo chini ya utawala wa Kikwete, na hayo niliyoeleza yanazidi kuimarika, basi hawa TISS wa sasa ni bora zaidi ya awamu zote zilizopita.
 
Kama una ndugu au mtu yeyote anaefanya kazi TISS umwambie hakuelimishe majukumu ya kada hiyo nyeti kwa taifa.

Kwa kukudokeza japo kidogo tu ili upate picha na kuachana na upotoshaji!, soma haya yafuatayo;

1. TISS ina idara zake, zipo za ujasusi, mahusiano ya kimataifa, PSU, mawasiliano na uchumi. Tuhuma za CHADEMA sidhani kama zinakaa kokote katika hizi idara. Na kama wanamjua wanaemtuhumu, waende polisi wakapeleke mashtaka yao ili hatua stahiki zichukuliwe.

2. Faida ya kuwa na idara hii kwa sasa ni kubwa kuliko awamu yeyote ile, nakupa mfano, katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote wa taifa lolote, atakae kanyaga katika ardhi ya nchi yenye usalama wa sintomfahamu. Wote tunashuhudia wanavyopishana viongozi wa mataifa mbalimbali airport kuja hapa nchini. Ni jambo la kujipongeza.

3. Swala zima la utalii.

4. Mahusiano ya kimataifa.

5. Umoja, amani na mshikamano wa watanzania.

Kama mpaka leo bado TISS ipo chini ya utawala wa Kikwete, na hayo niliyoeleza yanazidi kuimarika, basi hawa TISS wa sasa ni bora zaidi ya awamu zote zilizopita.
unazungumzia TISS ya enzi ya Mwal. Nyerere siyo hii ya sasa. Hatuna umoja wala mshikamano kama unavyodai. Wizi,rushwa na uhujumu uchumi unaoendelea nchini ni kielelezo cha ubovu wa TISS ya sasa! pengine nimalizie kwa kusema chombo hiki sasa ni kielelezo cha maisha ya wengi wetu watanzania kuishi kihuni na kiujanjaujanja!
 
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo


Ndugu usjidanganye,,,wale jamaa wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya chama tawala..mi kuna mtu wa karibu namfaham yupo kule...na hua siachi kumwambia ukweli...kazi yao ni majungu na umbea....fitna za hapa na pale.....Wizi WA EPA. CIS..TANGOLD...HAO TISS Walikuwa wapi? ile TAASIS IPO KISIASA ZAID....CKU HIZI....IMEJAA WAHUNI WALIO TAYARI KUTESA WATU WASIO NA HATIA KWA AJILI YA KUWAFURAHISHA WAKUBWA....SHAME ON THEM.....
 
unazungumzia TISS ya enzi ya Mwal. Nyerere siyo hii ya sasa. Hatuna umoja wala mshikamano kama unavyodai. Wizi,rushwa na uhujumu uchumi unaoendelea nchini ni kielelezo cha ubovu wa TISS ya sasa! pengine nimalizie kwa kusema chombo hiki sasa ni kielelezo cha maisha ya wengi wetu watanzania kuishi kihuni na kiujanjaujanja!

Wewe si ndio walewale unaelazimisha nchi isitawalike, unapinga kwamba Tanzania haina umoja na mshikamano? sasa mtu kama wewe utakubali kipi?

Kweli kuna haja ya kubadili jina la vyama pinzani, maana jina hili linawajengea hali hamasa ya kupinga kila kitu, bila hata ya kusumbua BONGO zenu kutafakari!

Wapinzani sio jina jema.
 
Ighondu mtoa kucha na mchomaji macho!Oh my God,ndio TISS ya sasa
 
unaweza kuleta ushahidi kwamba tiss inatesa raia???? Au na wewe unaamini propaganda za chadema? Acheni kuzungumza mambo ya uongo dhidi ya chombo nyeti kama tiss. Tiss ndio uhai wa taifa... Ila sikulaumu kwakua wale jamaa kazi zao hatuzijui hivyo ni rahisi kuwasingizia na kusema lolote kwakua huwa hawana press conference ya kujibu tuhuma...

Mwambie Rama Hajitetee.
 
Nimemsikia Wassira akitetea TISS kuwa imefanya kazi nzuri sana na akakumbusha enzi za ukombozi kusini mwa Africa na haiwezi kun'goa watu kucha. Pia wabunge na mawaziri wengi wamekuwa wakirejea maneno hayo hayo katika kuitetea TISS.
Ninalotaka kujua hawa wanaotoa utetezi huo wanaelewa linalotuhumiwa na wapinzani? Wapinzani hawana wasiwasi na historia ya Idara ya Usalama wa Taifa na kazi nzuri zilizofanywa katika vipindi hivyo vya nyuma,lakini wanazungumzia utofauti wa utendaji ule wa weledi wa zamani na huu wa sasa.
Kwa nini Hawa CCM wanaitetea TISS kwa kutumia historia ya awamu zilizopita na sii kwa utendaji wa sasa? Au hawaelewi hata ni lipi wanalisemea?

Usalama wa CCM Riz1
 
Kama una ndugu au mtu yeyote anaefanya kazi TISS umwambie hakuelimishe majukumu ya kada hiyo nyeti kwa taifa.

Kwa kukudokeza japo kidogo tu ili upate picha na kuachana na upotoshaji!, soma haya yafuatayo;

1. TISS ina idara zake, zipo za ujasusi, mahusiano ya kimataifa, PSU, mawasiliano na uchumi. Tuhuma za CHADEMA sidhani kama zinakaa kokote katika hizi idara. Na kama wanamjua wanaemtuhumu, waende polisi wakapeleke mashtaka yao ili hatua stahiki zichukuliwe.

2. Faida ya kuwa na idara hii kwa sasa ni kubwa kuliko awamu yeyote ile, nakupa mfano, katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote wa taifa lolote, atakae kanyaga katika ardhi ya nchi yenye usalama wa sintomfahamu. Wote tunashuhudia wanavyopishana viongozi wa mataifa mbalimbali airport kuja hapa nchini. Ni jambo la kujipongeza.

3. Swala zima la utalii.

4. Mahusiano ya kimataifa.

5. Umoja, amani na mshikamano wa watanzania.

Kama mpaka leo bado TISS ipo chini ya utawala wa Kikwete, na hayo niliyoeleza yanazidi kuimarika, basi hawa TISS wa sasa ni bora zaidi ya awamu zote zilizopita.

J*nga we**

Kama kungelikuwa na Tiss ya namna hii kungelikuwa na mfumuko wa bei kama huu. Watu wachache wanaachiwa wanatupangia tununue sukari, unga, mchele kwa bei gani? Si mngeishauri serikali jinsi wawekezaji wa migodi wanavyo over supplies invoince kutoka kwenye kampuni tanzu zao ili kukimbiza profits na kubaki na losses tunazolipia kila siku.

Tiss my Ass.
 
Ramadhani Igondhu siyo mfanyakazi wa TISS, yule ni jambazi tu ambaye hakamatwagi au hamjui kuna majambazi hayakamatwi? Nyie vp? Au nyie siyo watanzania nini?
 
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:


Ndugu mwenye mchango huu ninaounukuu umedandia suala usilokuwa na uelewa nalo. Hawa watu kitu wanachokilinda SI usalama wa taifa. Wanalinda usalama wa mafisadi. Jina lao sahihi liwe MISS (Mafisadi Intelligence and Security Services). Pili, si vizuri kuweka mchango wa mawazo kwenye jambo ambalo unakosa uelewa wa kutosha juu yake. Naamini tutataifisha mali zote mlizozipata kwa wizi na rushwa katika taifa hili wakati utakapokuwa muafaka. Tunajua mlipoingia kazini mlikuwa watu wa namna gani, mnapotoka mnakuwa watu wa namna gani, na ushahidi upo kuonesha ulafi wenu. Nyinyi mliofaidika na huu Mfumo Wenu Fisadi mnajua hili tatizo la kuwarudishia wananchi mali zao linakuja. Mnaitumia hii MISS yenu na hizi lugha zenu laghai za eti kulinda usalama wa taifa kurefusha tu muda muweze kuficha mali zenu za kifisadi. Muda huo hatuwapi.

We are taking our country back! Na hizo mali za wizi mlizojirundikia mtazirudisha kwa wenye nazo, ambao ni wananchi wa hili taifa Tanzania. Jitihada yenu ya kuwatisha Watanzania kwa kuitumia hiyo MISS yenu itashindwa kwa jina la Mtume Muhammad (SAW), Kwa jina Yesu Kristo, na Mungu wetu Mwenye Enzi. Usalama wa Taifa ni hii kazi iliyopo mbele yetu ya kuwaondoa nyinyi wezi madarakani. Huo ndo Usalama wa Taifa. Mbinu mnazotumia kuchelewesha ukombozi, hizo mbinu zenu za kung'oa watu kucha na meno ni Ugaidi. SI Usalama wa Taifa.
 
Kama una ndugu au mtu yeyote anaefanya kazi TISS umwambie hakuelimishe majukumu ya kada hiyo nyeti kwa taifa.

Kwa kukudokeza japo kidogo tu ili upate picha na kuachana na upotoshaji!, soma haya yafuatayo;

1. TISS ina idara zake, zipo za ujasusi, mahusiano ya kimataifa, PSU, mawasiliano na uchumi. Tuhuma za CHADEMA sidhani kama zinakaa kokote katika hizi idara. Na kama wanamjua wanaemtuhumu, waende polisi wakapeleke mashtaka yao ili hatua stahiki zichukuliwe.

2. Faida ya kuwa na idara hii kwa sasa ni kubwa kuliko awamu yeyote ile, nakupa mfano, katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote wa taifa lolote, atakae kanyaga katika ardhi ya nchi yenye usalama wa sintomfahamu. Wote tunashuhudia wanavyopishana viongozi wa mataifa mbalimbali airport kuja hapa nchini. Ni jambo la kujipongeza.

3. Swala zima la utalii.

4. Mahusiano ya kimataifa.

5. Umoja, amani na mshikamano wa watanzania.

Kama mpaka leo bado TISS ipo chini ya utawala wa Kikwete, na hayo niliyoeleza yanazidi kuimarika, basi hawa TISS wa sasa ni bora zaidi ya awamu zote zilizopita.

kama kungelikuwa na TISS unayoisema nisingeona Kanda za Ustazi Ilunga leo pale msikiti wa kribu na Hindu Mandali na Rais angelijua kuwa kuna udhaifu mkubwa katika utawala wake unapelekea watu waamini hawezi kukemea udini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom