Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Status
Not open for further replies.
kama kungelikuwa na TISS unayoisema nisingeona Kanda za Ustazi Ilunga leo pale msikiti wa kribu na Hindu Mandali na Rais angelijua kuwa kuna udhaifu mkubwa katika utawala wake unapelekea watu waamini hawezi kukemea udini.
siku hizi utetezi wao wanadai kikwete anapelekewa taarifa na data zote lakini anagomea ushauri wao!
 
Wewe si ndio walewale unaelazimisha nchi isitawalike, unapinga kwamba Tanzania haina umoja na mshikamano? sasa mtu kama wewe utakubali kipi?

Kweli kuna haja ya kubadili jina la vyama pinzani, maana jina hili linawajengea hali hamasa ya kupinga kila kitu, bila hata ya kusumbua BONGO zenu kutafakari!

Wapinzani sio jina jema.
unasumbuliwa na ujinga na umasikini.
 
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo

Kwa kweli ndugu pamoja na kutokwa mishipa ya kichwa katika kujitetea kwenu ndio kwanza kunathibitisha udhaifu wenu. Kazi za TISS hazijulikani lakini kwa ujumla kazi za taasisi hiyo duniani kote tunazijua ni kuhakikisha kuwa inatoa taarifa sahihi za kiusalama zinazohusu masuala yote ya nchi ndani na nje katika nyanja zote; Kisiasa, kijeshi, kiuchumi, kijamii. Na popote pale, US, UK, Russia, German, Japan, Korea, Canada-taasisi hizi zinafanya kazi ya kutumikia uchumi. kwani ustawi wa kiuchumi wa Taifa lolote ndio nguvu na usalama wa Taifa hilo ndani na nje, si ukubwa wa eneo wala ukubwa wa Baraza la Mawaziri wala vinginevyo. Ni taasisi hizi zinazosaidia kufanya uchunguzi wa kiuwekezaji, biashara, na mikataba mingineyo. Je haya masuala ya EPA, Dowans, Twiga, na mengineyo ambayo kimsingi ndiyo chanzo cha matatizo mengi yanayoendelea kwa kuwa rasilimali hazielekezwi kwa wananchi badala yake zinaelekezwa kwenye matumbo ya wachache, nyie TISS hamjui, hayawahusu au yote ni propaganda za Chadema hizi. When you reject facts, you should provide evidences, empirically. Pili ni kwanini kuna upotoshaji mkubwa sana kwa Rais hivi sasa, ni kwanini kuna mapungufu hata ya kutoa "state release" hivi sasa, (rejea la hivi karibuni kuwa Late PM wa UK alizaliwa 1987). Haya ni masuala madogo lakini kwa jamii ni vipimo flani kwao japo ni makosa ya kibinaadam lakini si kwa Taasisi. Tatu ni vipi mmekuwa na mawazo kuwa kila anaye-ichallenge serikali ni Chadema? au anayechangia humu negatively ni Chadema, tupo wenggi ambao si chadema imma ccm au hatuna vyama? Kweli nyie TISS hamuaoni kama hapa nchini kuna tatizo kidogo la kiutendaji ambao hata ukienda uwanja wa fisi pale ukiwauliza wao wanajua?
 
J*nga we**

Kama kungelikuwa na Tiss ya namna hii kungelikuwa na mfumuko wa bei kama huu. Watu wachache wanaachiwa wanatupangia tununue sukari, unga, mchele kwa bei gani? Si mngeishauri serikali jinsi wawekezaji wa migodi wanavyo over supplies invoince kutoka kwenye kampuni tanzu zao ili kukimbiza profits na kubaki na losses tunazolipia kila siku.

Tiss my Ass.

Safi sana, katika nchi nyingine kazi kubwa ya taasisi hii sio kushughulikia wanaotoa changamoto kwa serlkali ila wanaohujumu uchumi, kwani historically, uchumi ukiyumba, jamii inataabika hivyo lazima serikali itaangushwa tu ndiyo mapinduzi yote makubwa duniani yalivyotokea-Russia, french, nk. Sasa hawa jamaa wanachokifanya ukitoa views against na serikali ww unahatarisha usalama, ila waiba kodi, wabeba twiga, wauza ardhi kiholela, wasafirishaji wa madini bila kodi, wezi wa pesa kwa watumiaji wa cim wao hawahatrishi amani. Lets wait in at most 20 years to come, kama hali itaendelea hivi watakaokuwepo watajua nini kitajiri. Kimsingi watu wakiwa na dhiki na madhila hadi kiwango ambacho "The cost of living is higher than the cost of dying, people will opt to die . In either way; demonstrations, suicides etc; thats simple logic ya mapinduzi na ghasia zote duniani kwani hawataogopa tena bunduki wala mabomu. Taasisi za kiusalama duniani kote zinahakikisha kuwa bora nchi iingie vitani ili kutengeneza ajira na kuepusha hali hiyo
 
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo

Kama TISS wanakazi wanayoifanya kwa maslahi ya taifa, mbona si wao wanaomshitaki Lwakatare wa CHADEMA? Au walimpa nondo Mwigulu ili apate ujiko.....!!!
 
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:


Ingekuwa hivyo ingekuwa Safi sana? Sasa je ILUNGA alipata ujasiri wapi wa kutangaza hukumu ya kifo kwa mapadri mbele ya TISS bila kukamatwa?!
 
Unaweza kuleta ushahidi wa hizo allegations? Au unashabikia tuu propaganda za chama chako cha CHADEMA???? SHAME ON YOU! HUNA UNALOLIJUA KUHUSU TISS HIVYO UTABAKIA KUAMINI POROJO ZA WAJINGA WENZAKO...


Inasikitisha sana kuona vijana ambao ni nguvu kazi la taifa letu,wanapoteza weledi wao na kutiwa upofu na Nape kwa kuchukua elfu tano tano za voucher kila week kiasi ambacho mnashindWa hata kutetea taifa lenu linapodondoka,
Njaa mbaya sana wewe dada Metsada itakuponza

Ni ushaidi upi unaoitaji kuthibitisha hizo allegations wakati Kibanda na dr ulimboka wanatosha? SHAME ON YOURSELF husietaka kufanya kazi unategemea kuongwa na NAPE ili uje kupost pumba
 
Inasikitisha sana kuona vijana ambao ni nguvu kazi la taifa letu,wanapoteza weledi wao na kutiwa upofu na Nape kwa kuchukua elfu tano tano za voucher kila week kiasi ambacho mnashindWa hata kutetea taifa lenu linapodondoka,
Njaa mbaya sana wewe dada Metsada itakuponza

Ni ushaidi upi unaoitaji kuthibitisha hizo allegations wakati Kibanda na dr ulimboka wanatosha? SHAME ON YOURSELF husietaka kufanya kazi unategemea kuongwa na NAPE

Toa ushaidi acha maneno yasiyo na msingi kwenye hoja husika. Kama huna ushaidi basi upite tu sio lazima kuchangia.

Lakini pia napenda kukupa angalizo, unamfahamu Lwakatare? unajua anatuhumiwa kwa nini? basi hao watu uliowataja wenda wakawa wameshughulikiwa na huyu niliemtaja mimi katika maelezo yangu.
 
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
Hiyo TISS ni idara ambayo ipo kwa mujibu wa katiba, wewe kwa nini unadhani shughuli au wajibu wake hautakiwi kujulikana?
 
Nimemsikia Wassira akitetea TISS kuwa imefanya kazi nzuri sana na akakumbusha enzi za ukombozi kusini mwa Africa na haiwezi kun'goa watu kucha. Pia wabunge na mawaziri wengi wamekuwa wakirejea maneno hayo hayo katika kuitetea TISS.
Ninalotaka kujua hawa wanaotoa utetezi huo wanaelewa linalotuhumiwa na wapinzani? Wapinzani hawana wasiwasi na historia ya Idara ya Usalama wa Taifa na kazi nzuri zilizofanywa katika vipindi hivyo vya nyuma,lakini wanazungumzia utofauti wa utendaji ule wa weledi wa zamani na huu wa sasa.
Kwa nini Hawa CCM wanaitetea TISS kwa kutumia historia ya awamu zilizopita na sii kwa utendaji wa sasa? Au hawaelewi hata ni lipi wanalisemea?
inawezekana hata wewe mwenyewe hujui hiyo TISS inasvyofanya kazi zake, na ndiyo maana unaona kama haifanyi kazi
 
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!

Itisha mkutano na waandishi wa habari halafu IHOJI TISS... Hapo utakuwa umefanya la maana. Just try.

Unaweza kuleta ushahidi wa hizo allegations? Au unashabikia tuu propaganda za chama chako cha CHADEMA???? SHAME ON YOU! HUNA UNALOLIJUA KUHUSU TISS HIVYO UTABAKIA KUAMINI POROJO ZA WAJINGA WENZAKO...

amakweli chadema imewakalia hadi kwenye vichwa vyenu... Unaweza kuthibitisha ni kwa vipi tiss inaangamiza taifa na watu wake??? Je unajua shughuli za tiss? Au unafata mkumbo tu> shame on you!

unaweza kuleta ushahidi kwamba tiss inatesa raia???? Au na wewe unaamini propaganda za chadema? Acheni kuzungumza mambo ya uongo dhidi ya chombo nyeti kama tiss. Tiss ndio uhai wa taifa... Ila sikulaumu kwakua wale jamaa kazi zao hatuzijui hivyo ni rahisi kuwasingizia na kusema lolote kwakua huwa hawana press conference ya kujibu tuhuma...

hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo

poor analysis.... Full of lies.

Toa ushaidi acha maneno yasiyo na msingi kwenye hoja husika. Kama huna ushaidi basi upite tu sio lazima kuchangia.

Lakini pia napenda kukupa angalizo, unamfahamu Lwakatare? unajua anatuhumiwa kwa nini? basi hao watu uliowataja wenda wakawa wameshughulikiwa na huyu niliemtaja mimi katika maelezo yangu.

....hahahaha.....aisee!
 
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!

Kazi zao zinajulikana na ziko wazi sana.hivi hawa si ndio wale waliokua wanawasiliana na dokta au nawafananisha
 
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
Mkuu umesema kweli na umewapasha kweli. Tusaidie jambo moja. Ile kashfa ya kuvusha wanyama wazima wazima haiwahusu tiss/nyinyi?
 
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:

On red mark. Kibanda, mwangosi, Ulimboka etal, are they real dangerous people in our nation?
 
Whatever TISS and other institutions are doing they must do it to the satisfaction of the people not the other way round.
 
Hakuna tofauti ya CCM na TISS kimsingi CCM hakkikuwa chama kibaya kilipo kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, eni hizo za mwalimu. ingawa ki msingi malengo ya TUSS ni mazuri lakini ni hii ya TISS ya kisasa ya wazee wa Gombe. kama ni baadhi au ni vipi sijui Lakini ni kam kundilawatu waliowekwa kutumikia mabwana wao mafisadi
 
Utofauti wa TISS
Enzi za Mwalimu @ TISS kulilinda taifa na watu wake.
Enzi za Dogo wa bongo flava @ TISS kuliangamiza taifa na watu wake.

wanaoitetea TISS wanaijua zaidi na wanajua mchango wa idara hii katika kuielekeza Tanzania kwenye demokrasia ya kweli. najua wengi wanatamani tiss itumie mabavu, kuua watu hasa wale wanaohatarisha usalama wa taifa na wengine kuwapeleka uhamishoni kama ilivyokuwa enzi za mwalimu. hakika kama tiss itafanya kama wapendavyo watu wengi, demokrasia nchini haitakua na watu kama akina slaa wanaotukana hovyo viongozi wa Idara hii tungewasahau kabisa
 
Wenzenu Baada ya siku tatu wanatoa picha za wahusika wa Boston Marathon, Nyie wenzetu na TISS yenu hata baada ya miezi tisa mnashindwa kupata hata fununu ya wang'oa kucha, mtasema mnafanya kaziiiiii au mna piga siasa na kulinda wakandamizaji, lakini sababu kubwa ni kuwa wakati wa nchi za wenzetu wanaajiri vipanga kwenye idara zao za usalama, Nyie mnaa ajiri ndugu zenu ambao tangu shuleni tunawafahamu walikuwa vilaza tupu
 
Hakuna tofauti ya CCM na TISS kimsingi CCM hakkikuwa chama kibaya kilipo kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, eni hizo za mwalimu. ingawa ki msingi malengo ya TUSS ni mazuri lakini ni hii ya TISS ya kisasa ya wazee wa Gombe. kama ni baadhi au ni vipi sijui Lakini ni kam kundilawatu waliowekwa kutumikia mabwana wao mafisadi

kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom