Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Utetezi juu Ya TISS; Jee Wanaoitetea wanajua Tofauti ya TISS ya Nyerere na TISS ya Kikwete

Status
Not open for further replies.
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!

Mkuu kwenye maneno yako kuna ujumbe mzito ndani yake. Lakini ukumbuke kuwa Tanzania ya sasa kuna ambo yanaonekana ambayo watu wanajiuliza kimetokea nini TISS? Kwanini wezi wanakuwepo na wanajulikana hakifanyiki kitu? Kwanini inafikia hadi rais anakuwa na mawaziri vihiyo na wababaishaji, inakuwaje mpaka majambazi kutoka kenya yanaingia Tanzania na kusamabaratisha benki kiulaini, inakuwaje kuna kuwa na uhunji uhuni wa ajabu mpaka watu wanazungumzia udini, ukabila, uzanzibar na ubara, unity, harmony and security are all in tatters, what happened?

Tunajua kuwa TISS ina excellent person and can do excellent work, tena hata kwa sasa hapa tulipo naweza kusema lone wolves ndani ya TISS wamejitahidi sana walau kuikeep Tanzania hapa ilipo. Swali ni what has gone wrong?

TISS iliyoweza kumtikisa mkoloni na kaburu, sasa inaanza kuhangaika na shutuma za kung'oa watu meno, what has happened. Mkuu wewe unajua ni vema ukatudokeza.
 
tutajie hao watu ambao TISS ya mwalimu iliwatesa na hata kupoteza kabisa na kisha tufanye comparison na hawa wanaoteswa na awamu ya nne(JK) tuone kama kuna uwiano,awa akina kibanda na Ulimboka Enzi za mwalimu ikiwa angewaona na hatia au ni hatari angekamata na kuweka ndani(detention) na hiyo ingelikuwa ni kazi ya POLISI tu!
 
Simaanishi kwamba waseme Metsada leo tumechunguza na kugundua ujangili, namaanisha kwamba shughuli na wajibu wa idara hiyo unajulikana na mambo kama kushamiri kwa ufisadi, biashara za magendo, utoroshwaji wa wanyama wakiwa hai, udini, usafirishwaji wa meno ya tembo,kutekwa kwa watu mara kwa mara na kunyofolewa kucha, meno na macho, mauaji ya albino, mauaji ya viongozi wa dini, kuzagaa hadharani kwa kanda zinachochea mauaji hayo n.k, ni ishara kuwa ama idara hiyo ni dhaifu sana katika kutekeleza majukumu yake au inashiriki moja kwa moja kutekeleza mambo hayo.

Hayo yote unayoyasema wewe ni challenges ambazo ziko kila nchi kulingana na mazingira ya nchi husika. kuwepo kwa security challenges sidhani kama ni kigezo kwamba Idara ya Usalama ni dhaifu. Juzi huko Marekani kumetokea ugaidi kule Boston, lakini wana FBI na CIA ambazo budget zake ni billions of dollars na wana security cameras karibu kila kona ya mtaa lakini bado magaidi wanaingia marekani ,wanapanga, na kutekeleza uhalifu. KWA MFANO SOMA HAPA http://www.justice.gov/jmd/2013summary/pdf/fy13-fbi-bud-summary.pdf UTAONA MWAKA 2012 FBI WALIKUA NA BUDGET YA DOLA MILIONI 8118. JE UTASEMA KWAMBA WAO NI FULL PROOF? NOT REALLY. MFANO, SOMA HAPA FBI — Operation Ghost Stories: Inside the Russian Spy Case UTAONA KUNA MAJASUSI WA KIRUSI KWA LUGHA YA KITAALAMU WANAITWA ILLEGALS WALIINGIA MAREKANI NA KUJIKITA KATIKA JAMII YAO TAYARI KWA KUTEKELEZA UJASUSI ILI KUFANIKISHA MALENGO YA URUSI. WALIKAA MIAKA KADHAA BILA KUFAHAMIKA, INGAWA BAADAE WALIKAMATWA. HII NI MIFANO NAKUPA UONE JINSI GANI SECURITY CHALLENGES ZIKO KILA NCHI BILA KUJALI PESA NA VIFAA VINGI VYA KIJASUSI WALIVYONAVYO. KWAIYO NDUGU YANGU, NACHELEA KUAMINI KWAMBA HIYO MIFANO UNAYOITOA KWAMBA NDIO KIGEZO CHA FAILURES ZA TISS SIDHANI KAMA NI SAHIHI, PENGINE WAO WANAJUA ZAIDI. ISIPOKUWA, INAWEZEKANA MIMI NA WEWE HATUJUI NI HATUA GANI WANACHUKUA KUDHIBITI HAYO; AU ENDAPO WALIJUA HAYO NA WALICHUKUA HATUA AMBAZO LABDA MIMI NA WEWE HATUJUI. KWAIYO, KULAUMU TU SIO VIZURI KWAKUA MIMI NA WEWE HATUJUI SUCCESS ZA TISS ILI TUWEZE KUIPIMA SASA KATIKA KIGEZO CHA "SUCCESSES AND FAILURES"... MWISHO, SIDHANI KAMA KULINGANISHA HALI YA NCHI ENZI ZA NYERERE NA SASA NI SAHIHI - NI VIPINDI VIWILI TOFAUTI KABISA POLITICALLY, ECONOMICALLY, AND SOCIALLY. KUMEKUWA NA MAABADILIKO MENGI SANA KATIKA NYANJA HIZO HIVYO HATA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA LAZIMA ZIWE TOFAUTI NA HIVYO KUHITAJI HATUA NA NAMNA TOFAUTI YA KUSHUGULIKA NAZO. NAKUSHAURI SOMA KITABU KINAITWA "FAILURE OF INTELLIGENCE: THE DECLINE AND FALL OF CIA"...
 
Mkuu kwenye maneno yako kuna ujumbe mzito ndani yake. Lakini ukumbuke kuwa Tanzania ya sasa kuna ambo yanaonekana ambayo watu wanajiuliza kimetokea nini TISS? Kwanini wezi wanakuwepo na wanajulikana hakifanyiki kitu? Kwanini inafikia hadi rais anakuwa na mawaziri vihiyo na wababaishaji, inakuwaje mpaka majambazi kutoka kenya yanaingia Tanzania na kusamabaratisha benki kiulaini, inakuwaje kuna kuwa na uhunji uhuni wa ajabu mpaka watu wanazungumzia udini, ukabila, uzanzibar na ubara, unity, harmony and security are all in tatters, what happened?

Tunajua kuwa TISS ina excellent person and can do excellent work, tena hata kwa sasa hapa tulipo naweza kusema lone wolves ndani ya TISS wamejitahidi sana walau kuikeep Tanzania hapa ilipo. Swali ni what has gone wrong?

TISS iliyoweza kumtikisa mkoloni na kaburu, sasa inaanza kuhangaika na shutuma za kung'oa watu meno, what has happened. Mkuu wewe unajua ni vema ukatudokeza.

Hayo yote unayoyasema wewe ni challenges ambazo ziko kila nchi kulingana na mazingira ya nchi husika. kuwepo kwa security challenges sidhani kama ni kigezo kwamba Idara ya Usalama ni dhaifu. Juzi huko Marekani kumetokea ugaidi kule Boston, lakini wana FBI na CIA ambazo budget zake ni billions of dollars na wana security cameras karibu kila kona ya mtaa lakini bado magaidi wanaingia marekani ,wanapanga, na kutekeleza uhalifu. KWA MFANO SOMA HAPA http://www.justice.gov/jmd/2013summa...ud-summary.pdf UTAONA MWAKA 2012 FBI WALIKUA NA BUDGET YA DOLA MILIONI 8118. JE UTASEMA KWAMBA WAO NI FULL PROOF? NOT REALLY. MFANO, SOMA HAPA FBI — Operation Ghost Stories: Inside the Russian Spy Case UTAONA KUNA MAJASUSI WA KIRUSI KWA LUGHA YA KITAALAMU WANAITWA ILLEGALS WALIINGIA MAREKANI NA KUJIKITA KATIKA JAMII YAO TAYARI KWA KUTEKELEZA UJASUSI ILI KUFANIKISHA MALENGO YA URUSI. WALIKAA MIAKA KADHAA BILA KUFAHAMIKA, INGAWA BAADAE WALIKAMATWA. HII NI MIFANO NAKUPA UONE JINSI GANI SECURITY CHALLENGES ZIKO KILA NCHI BILA KUJALI PESA NA VIFAA VINGI VYA KIJASUSI WALIVYONAVYO. KWAIYO NDUGU YANGU, NACHELEA KUAMINI KWAMBA HIYO MIFANO UNAYOITOA KWAMBA NDIO KIGEZO CHA FAILURES ZA TISS SIDHANI KAMA NI SAHIHI, PENGINE WAO WANAJUA ZAIDI. ISIPOKUWA, INAWEZEKANA MIMI NA WEWE HATUJUI NI HATUA GANI WANACHUKUA KUDHIBITI HAYO; AU ENDAPO WALIJUA HAYO NA WALICHUKUA HATUA AMBAZO LABDA MIMI NA WEWE HATUJUI. KWAIYO, KULAUMU TU SIO VIZURI KWAKUA MIMI NA WEWE HATUJUI SUCCESS ZA TISS ILI TUWEZE KUIPIMA SASA KATIKA KIGEZO CHA "SUCCESSES AND FAILURES"... MWISHO, SIDHANI KAMA KULINGANISHA HALI YA NCHI ENZI ZA NYERERE NA SASA NI SAHIHI - NI VIPINDI VIWILI TOFAUTI KABISA POLITICALLY, ECONOMICALLY, AND SOCIALLY. KUMEKUWA NA MAABADILIKO MENGI SANA KATIKA NYANJA HIZO HIVYO HATA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA LAZIMA ZIWE TOFAUTI NA HIVYO KUHITAJI HATUA NA NAMNA TOFAUTI YA KUSHUGULIKA NAZO. NAKUSHAURI SOMA KITABU KINAITWA "FAILURE OF INTELLIGENCE: THE DECLINE AND FALL OF CIA"...
 
Habari iliyotawala leo karibia katika vyombo vingi vya habari leo na sasa ikizidi kupambwa na wapambe wa CLOUDS, lilikuwa ni suala la unyeti wa idara ya usalama wa Taifa. Mh! Huyu katika utetezi wake alidai kuwa chombo hiki hakitakiwi kuzungumzwa hadharani. Hili ni kweli nalikubali.

Tatizo ni kuwa chombo hiki kilikufa mara tu baada ya baba wa Taifa kutoka madarakani kwani kwa sasa badala ya kufanya kazi kwa manufaa ya usalama waTaifa na wananchi wake, sasa hivi kinafanya kazi kama wakala wa CCM na wengine wameajiriwa na watu binafsi huku wakiwa ndani ya mkataba wa serikali.

Sasa Mwandosya katika hali hii tueleze chombo hiki kitaheshimiwaje wakati wao wenyewe wanazungukana kwa kujikomba kwa wakubwa?!
Tafakari.
 
sikiliza vizuri acha kutumia akili kufugia nywele badala ya kufikiri
 
Challenges za intelligence ni lazima zipo nakubali, mimi binafsi ninaamini TISS wako vizuri sana na wanaweza kugundua kila jambo baya na kupendekeza au kushiriki moja kwa moja katika utatuzi au kuchukua hatua zitakazozuia mambo hayo kutokea, the problem and only problem ni kwamba kuwrpo kwa chama kimoja tu madarakani katika nchi ya vyama vingi kumesababisha idara hii kushindwa kutofautisha kati ya maslahi ya chama na ya taifa, idara hii inatakiwa kuwa autonomous zaidi ili iweze kutekeleza majukumu yake padipo kuingiliwa na wanasiasa.
Hayo yote unayoyasema wewe ni challenges ambazo ziko kila nchi kulingana na mazingira ya nchi husika. kuwepo kwa security challenges sidhani kama ni kigezo kwamba Idara ya Usalama ni dhaifu. Juzi huko Marekani kumetokea ugaidi kule Boston, lakini wana FBI na CIA ambazo budget zake ni billions of dollars na wana security cameras karibu kila kona ya mtaa lakini bado magaidi wanaingia marekani ,wanapanga, na kutekeleza uhalifu. KWA MFANO SOMA HAPA http://www.justice.gov/jmd/2013summary/pdf/fy13-fbi-bud-summary.pdf UTAONA MWAKA 2012 FBI WALIKUA NA BUDGET YA DOLA MILIONI 8118. JE UTASEMA KWAMBA WAO NI FULL PROOF? NOT REALLY. MFANO, SOMA HAPA FBI — Operation Ghost Stories: Inside the Russian Spy Case UTAONA KUNA MAJASUSI WA KIRUSI KWA LUGHA YA KITAALAMU WANAITWA ILLEGALS WALIINGIA MAREKANI NA KUJIKITA KATIKA JAMII YAO TAYARI KWA KUTEKELEZA UJASUSI ILI KUFANIKISHA MALENGO YA URUSI. WALIKAA MIAKA KADHAA BILA KUFAHAMIKA, INGAWA BAADAE WALIKAMATWA. HII NI MIFANO NAKUPA UONE JINSI GANI SECURITY CHALLENGES ZIKO KILA NCHI BILA KUJALI PESA NA VIFAA VINGI VYA KIJASUSI WALIVYONAVYO. KWAIYO NDUGU YANGU, NACHELEA KUAMINI KWAMBA HIYO MIFANO UNAYOITOA KWAMBA NDIO KIGEZO CHA FAILURES ZA TISS SIDHANI KAMA NI SAHIHI, PENGINE WAO WANAJUA ZAIDI. ISIPOKUWA, INAWEZEKANA MIMI NA WEWE HATUJUI NI HATUA GANI WANACHUKUA KUDHIBITI HAYO; AU ENDAPO WALIJUA HAYO NA WALICHUKUA HATUA AMBAZO LABDA MIMI NA WEWE HATUJUI. KWAIYO, KULAUMU TU SIO VIZURI KWAKUA MIMI NA WEWE HATUJUI SUCCESS ZA TISS ILI TUWEZE KUIPIMA SASA KATIKA KIGEZO CHA "SUCCESSES AND FAILURES"... MWISHO, SIDHANI KAMA KULINGANISHA HALI YA NCHI ENZI ZA NYERERE NA SASA NI SAHIHI - NI VIPINDI VIWILI TOFAUTI KABISA POLITICALLY, ECONOMICALLY, AND SOCIALLY. KUMEKUWA NA MAABADILIKO MENGI SANA KATIKA NYANJA HIZO HIVYO HATA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA LAZIMA ZIWE TOFAUTI NA HIVYO KUHITAJI HATUA NA NAMNA TOFAUTI YA KUSHUGULIKA NAZO. NAKUSHAURI SOMA KITABU KINAITWA "FAILURE OF INTELLIGENCE: THE DECLINE AND FALL OF CIA"...
 
Habari iliyotawala leo karibia katika vyombo vingi vya habari leo na sasa ikizidi kupambwa na wapambe wa CLOUDS, lilikuwa ni suala la unyeti wa idara ya usalama wa Taifa. Mh! Huyu katika utetezi wake alidai kuwa chombo hiki hakitakiwi kuzungumzwa hadharani. Hili ni kweli nalikubali.

Tatizo ni kuwa chombo hiki kilikufa mara tu baada ya baba wa Taifa kutoka madarakani kwani kwa sasa badala ya kufanya kazi kwa manufaa ya usalama waTaifa na wananchi wake, sasa hivi kinafanya kazi kama wakala wa CCM na wengine wameajiriwa na watu binafsi huku wakiwa ndani ya mkataba wa serikali.

Sasa Mwandosya katika hali hii tueleze chombo hiki kitaheshimiwaje wakati wao wenyewe wanazungukana kwa kujikomba kwa wakubwa?!
Tafakari.

mnakiona hakifanyi kazi kwa vina inawazuia msifanye yale muyapangayo maovu
 
Habari iliyotawala leo karibia katika vyombo vingi vya habari leo na sasa ikizidi kupambwa na wapambe wa CLOUDS, lilikuwa ni suala la unyeti wa idara ya usalama wa Taifa. Mh! Huyu katika utetezi wake alidai kuwa chombo hiki hakitakiwi kuzungumzwa hadharani. Hili ni kweli nalikubali.

Tatizo ni kuwa chombo hiki kilikufa mara tu baada ya baba wa Taifa kutoka madarakani kwani kwa sasa badala ya kufanya kazi kwa manufaa ya usalama waTaifa na wananchi wake, sasa hivi kinafanya kazi kama wakala wa CCM na wengine wameajiriwa na watu binafsi huku wakiwa ndani ya mkataba wa serikali.

Sasa Mwandosya katika hali hii tueleze chombo hiki kitaheshimiwaje wakati wao wenyewe wanazungukana kwa kujikomba kwa wakubwa?!
Tafakari.

kama kitu hukijui huna sababu ya kuzungumza.
 
mie ningekuona wa maana kama ungejadili lile suala la udini ikulu kama lilivyotolewa ufafanuzi na mwandosya
 
Tangu walipoanza kuajiri watoto wao, maana wameifanya ya kifamilia zaidi bila kuzingatia vile vigezo vya mwalimu ndipo walipoharibu!!! Vetting ni poor maana ni watoto wa wakubwa na wanalindana. Ile kazi ni ya wito na kujitolea sana!! Mitito imesoma nje haifahamu hata Tanzania halafu unaiingiza UWT? For God's sake!! Ilikuwa utaratibu unaanza vetting tangu ukiwa mdogo, leo hii mnawekana tu. Sasa kwa nini siri zisivuje? Na bado!!
 
je waislam nao wakilalamika kwamba rais inahangaikia mazishi wa wakristo tu na amewajaza ikulu, je Mwandosya atasemaje?
 
Tangu walipoanza kuajiri watoto wao, maana wameifanya ya kifamilia zaidi bila kuzingatia vile vigezo vya mwalimu ndipo walipoharibu!!! Vetting ni poor maana ni watoto wa wakubwa na wanalindana. Ile kazi ni ya wito na kujitolea sana!! Mitito imesoma nje haifahamu hata Tanzania halafu unaiingiza UWT? For God's sake!! Ilikuwa utaratibu unaanza vetting tangu ukiwa mdogo, leo hii mnawekana tu. Sasa kwa nini siri zisivuje? Na bado!!

UWT (Umoja wa Wanawake Tanzania) nako wanaajiriwa kutokana na undugu?
 
je waislam nao wakilalamika kwamba rais inahangaikia mazishi wa wakristo tu na amewajaza ikulu, je Mwandosya atasemaje?

nafikiri hapo hutaungwa mkono maana wao raha yao ni kuona kuwa rais ni mkristo, makamu wake ni mkristo, mawaziri wote ofisi ya rais ni wakristo, makatibu wakuu ni wakristo na wakrugenzi wa ikulu wote ni wakristo. hapo utaona kimya. mwalimu nyerere aliwazoesha vibaya sana
 
UWT (Umoja wa Wanawake Tanzania) nako wanaajiriwa kutokana na undugu?
Unataka utafuniwe? UWT=Usalama wa Taifa =TISS=Tanzania Intelligence Security System!!! hiyo W nimefanya upper case makusudi!! Khaaaaaaa!!! Omba mwongozo kwa spika!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom