Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Shida huyo jamaa Lengai Sabaya hiyo kesi akishindwa kinachofuata sio kifungo bali lipa pesa inayoendana na kifungo chake kazi kwisha ingawa wengi wanapenda akanyee debe kwa ninavyojua mm hakim atapata maelekezo kutoa option ktk kesi hii! Ilaa angekuwa wa upande wa pili hapo option isingetolewa!
 
Nakumbuka hata rc Gambo alishawahi kusema kipindi Cha mwendazake linaweza kufanyika Jambo sensitive ndani ya mkoa na bado mkuu wa mkoa usipewe taarifa na ukiipata unaambiwa ni order ya mzee baba...Mambo ya hovyo kabisa
 
Tunasubiri kina Kigogo nao wakamatwe kwa kusingiziwa ni magaidi.....lile kundi ni hatari sana likishirikiana na wanaharakati wetu uchwara.
 
Nimesikia na yule wa Magazeti ametiwa mbaroni huko visiwani. Tutafika tu.....
 
Mahalu hakuvamia na kupora kwa silaha
 
Kama ni kweli alikua anatumwa basi yuko sahihi kutokana na kwamba mteuliwa hutakiwa kupinga kauli ya mamlaka iliyokuteua kisheria.
 
Hakuna kesi hapo.
Na alipokwenda Dar kukamata pesa bandia zenye thamani ya Tshs. 800 mil. Alikuwa jambazi?
 
Umeambiwa ujambazi wa kutumia silaha
 
Kwa hiyo ndugu Sabaya unataka kutuambia tuiombe mamlaka imsimamishe kwa muda Kiongozi wa Malaika kupisha uchunguzi wa hii tuhuma inayomkabili?
 
Anasafishwa tu hapo...

Mama anatimiza tu kilichoachwa na ..kiumbe...

Kesi ishazimuliwa na kuwa nyepesi....
 
Kwani Samia ni dhalimu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…