Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Kwa hi Kwa hiyo wewe ni robot kwamba huwezi kupima kama uliloagizwa linavunja sheria au lah? Hakuna utetezi kama jambo ulilotenda linavunja sheria sababu kosa umetenda wewe. Kwa hiyo lazima ushirikishe ubongo ukiona huwezi unajiuzulu Kisha unavuka mpaka nchi jirani kuliko kadhia kama hizi.
Kumbuka mahakimu Wana Kinga ya kutoshitakiwa wakihukumu kinyume na sheria.
 
Jamaa kakiri kuwepo Arusha kwenye tukio.

Na wakili anatoka hapo anaomba fee!!!!

My God
 
Hakuna unachokijua mkuu, hapa Sabaya anachofanya ni kuweka matobo kwenye hoja ya kwanini alikwenda Arusha kufanya anachodai ni oparation wakati yeye ni mkuu wa Wilaya ya hai.Amabacho tu my opinion ndo hoja pekee iliyomkalia vibaya kwenye kesi hiyo!
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Serekali ya majambazi Raliye kuwa raisi mh.kichaa alikuwa jambazi
 
JELA MWAKA MMOJA KWA KOSA LA KUFANYA KAZI NJE YA KITUO CHA KAZI BAADA YA HAPO ANAKUWA HURU MWAKA MMOJA NI SAWA NA MIEZI SITA TU
Dada una mahaba sana na General Lengai Ole Sabaya. Makosa yake siyo ya hukumu ya muda mfupi hivyo. Ngoja tusubiri tuone hukumu yake. Kikubwa umeshaona kwamba hukumu inamhusu.
 
Hilo ni swali la msingi. Ule mchakato ulisitishwa utafikiri wakati unaanzwa tulilazimishwa.
Halafu umesitishwa watu kimyaaaa kama sio sisi.
Najiuliza, hata kama utaanzishwa tena kuna hakika gani wenye nguvu zao hawata sitisha tena.
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Mkapa hakuwa raisi lakini. Tusubiri hii movie tuone.
 
Mpaka inaisha tutaona mengi ila hapa SABAYA hachomoi
 
Yaani ndugu yangu Sabaya kama DC wa Wilaya iliyopo mkoa wa Kilimanjaro unatoka Mkoa wa Kilimanjaro unakwenda mkoa mwingine ambao ni wa Arusha unafanya uliyoyafanya unaona uko sahihi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…