Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Kwenye system ilo swala la kawaida sana .Rais anamtuma mtu anaeona anaweza kuitekeleza kazi Ile kwa ufanisi
 
Kwanini uongozi wote wa mkoa wa Arusha ulimuacha DC Ole sabaya afanye kazi hiyo ndani ya mkoa wao?
 
Kwanini alikuwa hakamatwi?
Anakamatwa vipi wakati alikua akifika popote anajata jina la Rais na anajulikana ni DC, Rudi kwenye kesi kasome ushahidi wa Askari Gwakisa aliyewahoji hao waliokamatwa na Sabaya, anasema wazi kabisa kuwa Sabaya alikua amefanya makosa kwa hao watuhumiwa feki aliowatesa ila hawakuwa na cha kufanya kwa mteule wa Rais aliyewaambia kuwa ametumwa na Rais na mwisho wa siku Askari Gwakisa aliona kesi haina mashiko akaifutilia mbali na Sabaya alishiriki kumuomba mmoja ya wateswaji akubali kesi ifutwe.
 
Kwanini Gwakisa hakuripoti kwa RPC kwa ushauri zaidi?
 
Ungemjua hakimu ameletwa maalum kutoka Geita kwa hio kazi maalum,usingebonga Sana.
 
Bwashee tofautisha Kazi maalumu na Ujambazi!

Usipanic.......hii kesi tangu mwanzo ilionyesha Sabaya anachomoka!
Mkuu kazi maalum serikali haikupi defense, you're on your own. Yaani mahakama imemkuta na kesi ya kujibu, halafu anajibu ujinga hivi.

Anyways tulipowaambia hawezi kuendelea na uDC wakati wa Mama, mlitubeza hapa. Ngoja tusubiri hukumu
 
Haya wale waliokatwa masikio sabaya alitumwa nasikia
 
Jambazi kabisa huyu. Ingekuwa kwetu china wala kulikuwa hamna kesi,tayari angekuwa amechapwa risasi hadharani. Naiomba sana mahakama ya Arusha,hapo kama ni swala la haki ya kimaamuzi ya mahakama,huyu haki yake mvua 30
 
Kwani Arusha hakua na mkuu wa Wilaya mpaka atoke yeye Hai aende kufanya kazi Wilaya Nyingne. Kihongozi alikuwa wap? Mkuu wa mkoa wa Arusha alikua wapi
 
Mkuu kazi maalum serikali haikupi defense, you're on your own. Yaani mahakama imemkuta na kesi ya kujibu, halafu anajibu ujinga hivi.

Anyways tulipowaambia hawezi kuendelea na uDC wakati wa Mama, mlitubeza hapa. Ngoja tusubiri hukumu
Wewe unaamini amejibu ujinga?
 
Ukipitia hukumu ya Zombe ( RPC mstaafu) kwenye ile kesi ya wale jamaa wa madini utagundua Sabaya ana nafasi kubwa ya kuachiwa huru!
Hiyo kesi ya zombe Marehemu walikuwa hawawez kujitetea Ni rahisi kutoka.

Kesi ya Sabaya wahanga wote wako hai, apambane.
 
Labda busara za majaji tuu kwa kuzingatia mazingira ya Tzn na utawala uliokuwepo hapo awali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…