Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Kesi Hii tunakoelekea utasikia watuhumiwa walikuwa na pingu mikononi wameruka kwenye gari wakipeleka mahabusu na wamefafiki wote.
 
Wewe unaamini wako serious!!!!

..mashitaka ni mabaya / serious.

..na sidhani kama Sabaya ameyapangua hayo mashtaka.

..kusema kwamba alitumwa na Raisi siyo utetezi wa kutosha.

..Mramba na Yona walitoa utetezi wa aina hiyohiyo lakini walifungwa.

..Pia Raisi anaweza kukutuma lakini ukitekeleza hovyo-hovyo anaweza kukushtaki na hatimaye ukafungwa.
 

Tumpende mtu muovu? Alichokifanya ni kudhibitisha yale madai yetu kuwa Magufuli alikuwa rais muovu, na aliiendesha nchi hii kwa maagizo ya uovu. Ushahidi huu unazidi kuyapa nguvu madai yetu ya katiba mpya, huku kipengele cha madaraka ya urais yakipunguzwa, ikiwemo rais kushitakiwa akiwa madarakani, au akiwa ametoka.
 
Kusema alitumwa ndio ushahidi?waliomtuma walimwambia afanye ujambazi?,na kama aliambiwa afanye ujambazi je ilikuwa amri halali?

Ngoja waitwe hao waliomtuma kama wapo uone kama watakiri walimwambia afanye jinai
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee anamchafua marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…