Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Mr Scars, mimi sijawahi kutaja jina la Mungu maana sioni mantiki hata ya kuwepo jina.

Jina hutolewa kwa vitu ambavyo vipo zaidi ya kimoja ili kuvitofautisha. Mungu ni mmoja sasa jina la nini?

Na bado akipewa jina anapewa la kikabila ili kumbinafsisha/kumtaifisha. Na Mungu hana upendeleo unambinafsishaje?

Kutokana na msimamo huo basi huwa kutokea moyoni sitaji jina, naonaga kutaja majina ni kukubali subconsciously kuwa kuna mwingine pia.

Na kuhusu waislamu, nimeligundua hilo na kujaribu kuliadress vyenye ambavyo Yesu kama mtu ni nabii wa Mungu. Aliyepresent Neno na kuliishi kikamilifu. Neno ni Mwana wa Wazo. Neno/Logic na WazoZuri/GoodIdea ni MMOJA na ni ukweli kwamba Neno[Mwana] latokana na Wazo[Baba].......................Simple[emoji214]. Na Mwenyezi Mungu amebakia kuwa mmoja tu na hakuna mwingine.
Kuna Mungu na Miungu,hivyo hayupo mmoja
 
Kuna Mungu na Miungu,hivyo hayupo mmoja
Kwa wewe uloamua kuwa huo ndio uhalisia wako. Lakini mimi hainiingii akilini namna gani ukawa na Miungu.......... miungu sawa unaweza kuwa nao wengi mmoja akawa wa mvua.... mwingine wa uzazi, mwingine ulinzi, mwingine wa mlimani, wa kabila etc etc.

Lakini Mungu atabaki kuwa mmoja tu kutokana na tafsiri ya moja ya sifa zilizo chini yake. Muumbaji wa kila kitu kinachoonekana na visivyoonekana. Chanzo cha kila kitu. Sasa kwa difinisheni hiyo watakuwaje zaidi ya mmoja!???
 
Back
Top Bottom