babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi Mstaafu George Marwa Waitara kwa kipindi kingine kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi Tanzania (TANAPA)
Anthony Diallo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA). Anachukua nafasi ya Profesa Anthony Mshandete aliyemaliza muda wake.
Uteuzi umeanza Februari 13, 2023
Anthony Diallo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA). Anachukua nafasi ya Profesa Anthony Mshandete aliyemaliza muda wake.
Uteuzi umeanza Februari 13, 2023