Akamalizie madeni yake sasa
vijana wataendelea na uchawa wakati wazee wanaendelea kulamba asali.safi sanaaa.Safi sana acha atumikie taifa
hawana , ila posho za vikao vyao kwa mwaka yaweza kuzidi bajeti ya WizaraHivi hawa wenyeviti wa bodi wanakua na mshahara ??
....asked out of curiosity.
Teh teh tehhawana , ila posho za vikao vyao kwa mwaka yaweza kuzidi bajeti ya Wizara
Kama ameshindwa kuendesha Media zake huku akidaiwa Mishahara ya Miaka Mitatu hadi Mitano na Wafanyakazi wake hadi Wengine Kumkimbia huku anakopelekwa atakuwa na Tija gani au lipi jipya?
Huyu naye bure ingawa naweza kujenga hoja llllllllllili. Kama alikubali uteuzi wa muuaji magufuli, basi hamna kitu pale ni mavi tumboniHongera kwao. Dr Slaa je lini?
walau ale bata kidogo mana kala ngumu kitambo.Safi sana acha atumikie taifa