UTEUZI: Antony Diallo, George Waitara wateuliwa Uenyekiti TANAPA na TFRA

Kama kina Kinana ndio vinara unadhani watarecomend vijana?
Lazima wapeane ma school mates kwanza.
 
Tunakosea kitu kimoja kwenye teuzi hizi, sio kwamba napinga au naponda teuzi anazofanya Mh, Rais wa JMT Dr. Samia Suluhu Hassan hapana

Teuzi ni vyema vikidhi vigezo kwa wananchi, Anthony Dialo hata shamba hana ni tycoon mtoto wa mjini, lini akawa na uchungu na wakulima wa nchi hii?

Ni vyema angeteuliwa mtu ambaye anajihusisha na kilimo kuliko huyu tycoon ili apambane kuhakikisha wakulima wenzie wanafikiwa na mbolea on right time

Mkulima lazima ajue changamoto zinazo wakumba wakulima wenzie na naamini angeshirikiana nao kuhakikisha wanajikwamua hasa juu ya tatizo la ucheleshwaji mbolea kufikia wakulima
 
Diallo labda atapata pesa ya kulipa wafanyakazi
 
Wanateuliwa kulinda maslahi ya chama na majangili mengine ndani ya CCM
 
Hizi Teuzi zinaangalia experience katika industry husika au zinaangalia ni nani jamaa yetu hatujampatia ulaji na yeye aende kula / akale...

Nilitegemea wadau wa kwenye hizo sekta husika ndio wawe kipaumbele katika hizi teuzi
 
Afadhari sio yule Waitara CHAPOMBE, roho ingeniuma sana
 
Diallo kabebwa na ile kauli yake ya kuwa mjamaa alikuwaa na cheti cha Milembe🤣😆😆🙈
 
Wafanyakazi wa Star Tv wamekimbiwa rasmi
Hujui usemalo wakati sasa ndio muda mzuri wa mzee kujipanga na kuirudisha startv kwenye mstari?!!kwani boss njaa inaenda kupungua sasa!!kwani njaa si imekuwa kali baada ya kipoteza hata uenyekiti wa ccm mkoa!!
 
Nadhani sasa watu wataiona thamani ya udaktari wa heshima, hongera Dr Diallo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…