kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Ni watu ila hawana umuhimu.Tuondolee udini wako Hapa, kwani waislamu siyo watanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni watu ila hawana umuhimu.Tuondolee udini wako Hapa, kwani waislamu siyo watanzania?
tatizo na ku-balance jinsia.
[emoji38][emoji38][emoji38]Uvccm ni taasisi kama bakwata?
Mama mdini auHalafu nafasi ya mwenyekiti uvccm taifa wagombea ni wazanzibari tupu!
Kundi la kifo ni hili la nafasi ya mwenyekiti UWT taifa. Patachimbika hapa.
Udini utakurudisha nyuma SanaNi watu ila hawana umuhimu.
Mmh! Nimemsikia akiwa kiongozi UWT tangu awamu ya Mwinyi.UWT wasifanye makosa Kate Kamba anatosha.
Naona Samia anajiandaa kwa 2025 UVCCM majina yote salama aleko.
Kafeli kwenye jina gani?Huyu tayari kashafeli ngoja majina ya wagombea uwenyekiti mkoa tuone!
Kutesa kwa zamu, Magu alijaza waefeso wengi sanaNaona Samia anajiandaa kwa 2025 UVCCM majina yote salama aleko.
Nipe kanuni ama kifungu katibaMila na desturi ni alternation, Msimu huu ni Zanzibar, Msimu ujao ni Bara,Sisi Bara tulikuwa na Hery James
Hamna kitu hapaUWT wasifanye makosa Kate Kamba anatosha.
Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
Nyie hamtaki kuteuliwa [emoji1]Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
Awamu hii ni zamu ya Zanzibar kama ilivyokuwa awamu iliyopita Ilikuwa ni zamu ya Bara yaani Kheri James,udini na uzanzibari umezidi awamu hii.
Ina maana hakuna mkristo mtanganyika wa kugombea nafasi ya mwenyekiti UVCCM??
Hii inaleta picha mbaya.
Unajua waliomba wangapi?List haiko poa wangebalance ili kutoa utata ..kuleta mtafaruku katika jamii zetu Tena nchi yenye amani sio fresh