UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

Hapana. State house sio goverment. Sitaki kutoa lugha mbaya au kukukosea heshima mkuu ila ata watoto wa sekondari au primary wanaosoma somo la 'civics' ukienda kuwauliza tofauti ya 'ikulu' na 'serikali' watakupa majibu mujarabu.
🥺🥺🥺🥺
 
Ndo maana hata sielewi uhitaji wa kuwepo kwa msemaji wa serikali na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais!

Rais si ndo mkuu wa serikali? Au?

Serikali ina msemaji wake na Rais ana msemaji wake na kwa wakati huo huo Rais ndo mkuu wa serikali!!

Dizzying.
Mkuu
Mkurugenz wa mawasiliano ya Rais huyu yy ni msemaji wa rais rais ni taasisi kwa hiyo lazima kuwe na msemaji wake na huyo yy anatumika na rais tu Wala siyo makamu wa rais na huyo yy anatumika issue za rais tu na siyo vinginevyo

Lakin msemaji wa serikal yy anaiongelea serikal kwa ujumla na yy ni mkurugenz mkuu wa wasemaji wa wizara zote au taasisi zote za serikali.
 
Ndo maana hata sielewi uhitaji wa kuwepo kwa msemaji wa serikali na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais!

Rais si ndo mkuu wa serikali? Au?

Serikali ina msemaji wake na Rais ana msemaji wake na kwa wakati huo huo Rais ndo mkuu wa serikali!!

Dizzying.
Inawezekana akawepo msemaji wa rais ana deal na mambo ya Ikulu tu, halafu kukawa na msemaji wa serikali ana deal na mambo ya serikali nzima.

Kama kulivyo na msemaji wa White House anadeal na mambo ya White House (yakiwamo mambo yote ya nchi, ndani na nje, kwa sababu yanaweza kuwa ya White House)na wa State Department, ambaye yeye ana deal na mambo ya nje tu.

Sasa hapo utasema msemaji wa White House kuongelea mambo ya nje atakuwa kaingilia kazi ya msemaji wa State Department?

Au Msemaji wa State Department kuongelea mambo ya Nje atakuwa kaingilia mambo ya White House?

Wenyewe wanajua, kwa mfano, mambo ya ubalozi mara nyingi yanakuwa State Department, hata White House ikitoa statement, mara nyingi inakuwa imepitiwa na State Department.

Ikulu ni kama special subset ya serikali kuu, kwa hivyo msemaji wa serikali anasemea serikali nzima, wakati msemaji wa Ikulu kajikita sana kwa rais na Ikulu.

Halafu hapo bado hujagusa Mkurugenzi wa Shirika La Habari Tanzania (SHIHATA). Hili bado lipo?

Lilikuwa hapa Upanga Nkomo St, my old stomping grounds.
 
Inawezekana akawepo msemaji wa rais ana deal na mambo ya Ikulu tu, halafu kukawa na msemaji wa serikali ana deal na mambo ya serikali nzima.

Kama kulivyo na msemaji wa White House anadeal na mambo ya White House (yakiwamo mambo yote ya nchi, ndani na nje, kwa sababu yanaweza kuwa ya White House)na wa State Department, ambaye yeye ana deal na mambo ya nje tu.

Sasa hapo utasema msemaji wa White House kuongelea mambo ya nje atakuwa kaingilia kazi ya msemaji wa State Department?

Au Msemaji wa State Department kuongelea mambo ya Nje atakuwa kaingilia mambo ya White House?

Wenyewe wanajua, kwa mfano, mambo ya ubalozi mara nyingi yanakuwa State Department, hata White House ikitoa statement, mara nyingi inakuwa imepitiwa na State Department.

Ikulu ni kama special subset ya serikali kuu, kwa hivyo msemaji wa serikali anasemea serikali nzima, wakati msemaji wa Ikulu kajikita sana kwa rais na Ikulu.

Halafu hapo bado hujagusa Mkurugenzi wa Shirika La Habari Tanzania (SHIHATA). Hili bado lipo?

Lilikuwa hapa Upanga Nkomo St, my old stomping grounds.
SHIHATA ILIZAA MAELEZO IKAJIFIA BAADA TU YA KUMZAA MAELEZO!
 
Wa ikulu anakuwa msemaji wa raisi pekee, wakati wa maelezo ni wa serikali. Taarifa ambazo sio za ikulu ndio zitatolewa msemaji wa serikali.
Hivi Msigwa anaweza kuongelea mambo yanayohusu wizara ya Tamisemi bila Ummy kujihisi kitumbua kinaingia mchanga!
 
Kuna jamaa yangu hua ananiuliza swali kwamba"kwahiyo gerson msigwa amepanda cheo au ameshushwa cheo"basi hua nashindwa nijibu nini plz anaeelewa anisaidie ili nikamuelezee.
 
Inawezekana akawepo msemaji wa rais ana deal na mambo ya Ikulu tu, halafu kukawa na msemaji wa serikali ana deal na mambo ya serikali nzima.

Kama kulivyo na msemaji wa White House anadeal na mambo ya White House (yakiwamo mambo yote ya nchi, ndani na nje, kwa sababu yanaweza kuwa ya White House)na wa State Department, ambaye yeye ana deal na mambo ya nje tu.

Sasa hapo utasema msemaji wa White House kuongelea mambo ya nje atakuwa kaingilia kazi ya msemaji wa State Department?

Au Msemaji wa State Department kuongelea mambo ya Nje atakuwa kaingilia mambo ya White House?

Wenyewe wanajua, kwa mfano, mambo ya ubalozi mara nyingi yanakuwa State Department, hata White House ikitoa statement, mara nyingi inakuwa imepitiwa na State Department.

Ikulu ni kama special subset ya serikali kuu, kwa hivyo msemaji wa serikali anasemea serikali nzima, wakati msemaji wa Ikulu kajikita sana kwa rais na Ikulu.

Halafu hapo bado hujagusa Mkurugenzi wa Shirika La Habari Tanzania (SHIHATA). Hili bado lipo?

Lilikuwa hapa Upanga Nkomo St, my old stomping grounds.

Mambo ya Ikulu tu ndo mambo gani? Na mambo ya serikali nzima ndo mambo gani?

Kuna mambo ya ikulu yasiyo ya serikali na mambo ya serikali yasiyo ya ikulu?

Sioni tofauti yoyote kubwa na ya msingi kati ya hizo nafasi mbili. Ni nafasi ambazo zinaweza kufanywa na mamlaka moja.

Hakuna serikali kubwa kivile kulazimu uwepo wa msemaji wa Ikulu na msemaji wa serikali.

Kuna wakati niliuliza kuhusu uwepo wa 4 star generals kwenye JWTZ.

Baadhi ya watu wakasema kwamba sababu kuu ya kwa nini hatuna zaidi ya 4 star general zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja ni ukubwa wa jeshi.

Ni sababu ambayo niliiona ni ya msingi.

Vivyo hivyo kwenye serikali. Sioni haja ya kuwa na wasemaji wawili wa serikali hiyo hiyo.

Wote hao wanaweza kufanya kazi chini ya idara ya mawasiliano ya serikali ambayo inaweza ikawa na idara kadha wa kadha.
 
Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Mkuu ina maana wewe ni mgeni hii nchi... We huoni hapo ni watu wanatengeneza kula...

Hujashangaa mlundikano wa vyeo vya meya, Dc, mbunge, katibu tawala wakati wamahudumu almost kwenye eneo moja
 
Back
Top Bottom