Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
ninavyomfahamu zamani alikuwaga mtangazaji wa RTD, badae nikawa simsikii tena.Tupeni CV yake. Binafsi ndo namfahamu leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninavyomfahamu zamani alikuwaga mtangazaji wa RTD, badae nikawa simsikii tena.Tupeni CV yake. Binafsi ndo namfahamu leo.
Vijana mnawivu hata kwa watu msiowajuaAlikuwa kichefu chefu sana
Wanaongeza nafasi kwa ajili ya watoto wa mashangaziKwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Kuendana, hapana! Labda kama siku hizi wamebadilisha utaratibu lakini wakati wa JK kila wizara ilikuwa na msemaji wake, halafu kulikuwa na Msemaji Mkuu wa Serikali (Asah Mwambene).Mimi wala sijahoji kwa ubaya.
Nimeuliza tu maana nimeona ni kama hivyo vyeo vinaendana.
Ila ndo hivo tena…we have too many nincompoops here.
Alivyoteuliwa tu kuwa msemaji wa serikali ilikuwa matter of time aondoke ikulu sidhani mother angeweza kutoa vyeo viwili kwa mtu mmoja ,baada ya vetting na kumpata anayeona anafaa msigwa kaachia cheo ikuluJana tu nilikuwa nasoma waraka wa Msigwa wa teuzi, nikasema huyu Rais Hassan kaamua kuonesha urais ni taasisi, anaendelea na Msigwa hajataka kaweka mtu wake.
Yale mawazo yangu yakawa kama yamekorofisha mitambo Ikulu huko.
Kenya pia kuna Msemaji wa Serikali na Msemaji wa Rais. Kuna format wanafuatilia hii si Tanzania tu.Mambo ya Ikulu tu ndo mambo gani? Na mambo ya serikali nzima ndo mambo gani?
Kuna mambo ya ikulu yasiyo ya serikali na mambo ya serikali yasiyo ya ikulu?
Sioni tofauti yoyote kubwa na ya msingi kati ya hizo nafasi mbili. Ni nafasi ambazo zinaweza kufanywa na mamlaka moja.
Hakuna serikali kubwa kivile kulazimu uwepo wa msemaji wa Ikulu na msemaji wa serikali.
Kuna wakati niliuliza kuhusu uwepo wa 4 star generals kwenye JWTZ.
Baadhi ya watu wakasema kwamba sababu kuu ya kwa nini hatuna zaidi ya 4 star general zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja ni ukubwa wa jeshi.
Ni sababu ambayo niliiona ni ya msingi.
Vivyo hivyo kwenye serikali. Sioni haja ya kuwa na wasemaji wawili wa serikali hiyo hiyo.
Wote hao wanaweza kufanya kazi chini ya idara ya mawasiliano ya serikali ambayo inaweza ikawa na idara kadha wa kadha.
Swali zuri. Amepanda cheo kwa kuongoza idara yenye majukumu mengi na mapana zaidi kwani ndiyo inasimamia sekta ya habari.Kuna jamaa yangu hua ananiuliza swali kwamba"kwahiyo gerson msigwa amepanda cheo au ameshushwa cheo"basi hua nashindwa nijibu nini plz anaeelewa anisaidie ili nikamuelezee.
Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Amefutika au ndo kimepaa??.Pole sana naona barua hujaisoma vizuri.Bora Msingwa amefutika rasmi kwenye Ikulu yetu
Leo english yako nimeilewa kuanzia mwanzo hadi mwisho, sijuhi leo umerahisisha au Mimi ndio nimeanza kubobea!!Hahahaaa!
You have an intellectual ability of an earthworm.
No one more dumb than your stinking wrinkled ass.
You are too dumb for me to even consign you to my ignore list 🤣🤣
MmawiaHahahaaa!
You have an intellectual ability of an earthworm.
No one more dumb than your stinking wrinkled ass.
You are too dumb for me to even consign you to my ignore list 🤣🤣
Mmawia take noteVijana mnawivu hata kwa watu msiowajua
Ukikiuliza msigwa alikukosea nini utajibu basi tu yaan
Chuki huumiza kwa aliye ihifadhi
Kwani msigwa si msemaji mkuu wa serikali au we uko wapoMsigwa sasa atakuwa kama GeorgeMkuchika ambaye ni Waziri katika ofisi ya rais KAZI MAALUMU!!
Hizi nafasi za hovyo hovyo zinazoingiliana hili kuonesha mtu hajafukuzwa kazi bali kaamishwa kitengo, ndio inasababisha watoto wetu wakose vitabu madarasani kwa kulipa mishahara hewa.Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali ni tofauti kabisa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Raisi, Ikulu. Huyu wa Ikulu anahusika na mawasiliano ya Raisi tu, lakini Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali yeye anaisemea Serikali nzima ndani na nje ya nchi. Huyu ni mkubwa kimadaraka!Hizi nafasi za hovyo hovyo zinazoingiliana hili kuonesha mtu hajafukuzwa kazi bali kaamishwa kitengo, ndio inasababisha watoto wetu wakose vitabu madarasani kwa kulipa mishahara hewa.
Afrika media...Alikuaga TBC
Baadaye akaenda azam kama sikosei
Afadhali na wewe umeliona hilo: kwamba zinaendana/ ingiliana!Hizi nafasi za hovyo hovyo zinazoingiliana hili kuonesha mtu hajafukuzwa kazi bali kaamishwa kitengo, ndio inasababisha watoto wetu wakose vitabu madarasani kwa kulipa mishahara hewa.
Hivi hapa Magufuli anaingiaje?Kweli mwendazake alisigina katiba changanya mambo hovyo hovyo....ikulu na serikali akafanya iwe kitu kimoja hasi bunge akalikamata....akawavuruga majaji kuwatisha awe anawaamulia .....vurugu sasa tunarudi haki usawa na demokrasia safi Mama na JK
Tenganisha kofia za ikulu na msemaji serikali na KM....nani alivurugaHivi hapa Magufuli anaingiaje?
Watu mna fixation ya ajabu sana na Rais Magufuli 😁