UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

Kuwa miaka yote hivyo si hoja.
Je imekuwa ikileta tija kwa Taifa?
Je siyo kuongeza gharama za matumizi ya Umma pasipo tija?


Hata kwenye maeneo mengine matharani unakuta kwenye Wilaya kuna DC, DED, RAS, MAYOR etc hao wengi hivyo wanalipwa pesa za Umma kwa kufanya kazi almost ile ile .

Halkadhalika kwenye ngazi ya mkoa ni vivyo hivyo.

Nazani inapaswa kuangaliwa upya .
 
Kivipi? Yeye ni mkurugenzi Habari maelezo na msemaji mkuu wa serikali.
Zile trip za leo Dar, Kesho Zanzibar na keshokutwa Dodoma zimekwisha ..... Maisha ya Msigwa kwa nika 6 yalikuwa ni kulala 5 Star hotel tu!!
 
Nani kaula hapo kati ya hao wawili? Waswahili husema: Mgaagaa na upwa hali wali mkavu, nadhani aliyekaribu na Rais anaweza akawa ameula ...
Bora tu Msigwa katoka hapo ......... alikishusha sana cheo cha Mkurugenzi wa Habari Ikulu kikawa ni MC wa Ikulu....!!

Enzi za akina Salva hukuweza kusikia akifanya uMC every second week!!
 
Bora tu Msigwa katoka hapo ......... alikishusha sana cheo cha Mkurugenzi wa Habari Ikulu kikawa ni MC wa Ikulu....!!

Enzi za akina Salva hukuweza kusikia akifanya uMC every second week!!
Hivi Salva yuko wapi? ametoweka kabisa ulimwengu wa habari
Gerson Msigwa alitok mahali kusikojulikana, akaukwea huo usemaji bila tough qualifications and experience....
 
Mwendazake hatarudi MATAGA mliwekeza kwa propaganda na kumtukuza mtu

Hivi anayehangaika na marehemu Nani. Ni wewe. Mnataka kuwa relevant. JPM ameondoka. We are living the present. We have Mama Samia. Kufikiri kwenu kwamba waliopenda kikwete watamchukia JPM, na waliopenda JPM watamchukia Mama ambaye walichaguana kuongoza Tz. Ni Utoto sana. Yani Ni aibu. Watu wenye shughuli zao hawaishi hivyo. Rais sio balozi wa nyumba kumi ambaye utakutana naye mkifagia mitaro.

Nikisoma maujumbe mengi sana, ya watu wa aina yako, tafsiri ya ndani nayoipata Ni kwamba hamna furaha wala amani ( of course inashanganza- mana Rais Ni mtu mkubwa wala hatuna uhusiano wa kikaribu hivyo Sisi wananchi) kwa kuwa JPM kawakaa mno mioyoni. Amefariki Lakini bado anawasumbua. Mlitaka amalize muda Wake na awe ameshindwa kadiri ya maono yenu. Leider kaitwa na Mungu. Tutaitwa sote.

Experience ya dini nyingi inaonyesha watu waovu ndo wamepewa muda mrefu sana wa kuishi kuliko Wema. Majambazi. Wauaji wezi wana roho za paka. Kama hujawahi baka jaribu Leo , na ndo utakamatwa. Waovu wanapewa mudaaaaa mrefuuuuuu. So argument Ohhh Mungu katusaidia nk. Ni ujinga. Soma historia. Go to the Bible if you are a Christian ( I doubt because no true Christian will think ill of the dead for only God knows what’s inside— the inner and unseen actions of Man), go to the koran etc.

Move on Man. We have Samia. The future is important. For the good of your healthy and Soul, stop this nonsense.
 
Nonsense
Hivi anayehangaika na marehemu Nani. Ni wewe. Mnataka kuwa relevant. JPM ameondoka. We are living the present. We have Mama Samia. Kufikiri kwenu kwamba waliopenda kikwete watamchukia JPM, na waliopenda JPM watamchukia Mama ambaye walichaguana kuongoza Tz. Ni Utoto sana. Yani Ni aibu. Watu wenye shughuli zao hawaishi hivyo. Rais sio balozi wa nyumba kumi ambaye utakutana naye mkifagia mitaro.
 
Hivi anayehangaika na marehemu Nani. Ni wewe. Mnataka kuwa relevant. JPM ameondoka. We are living the present. We have Mama Samia. Kufikiri kwenu kwamba waliopenda kikwete watamchukia JPM, na waliopenda JPM watamchukia Mama ambaye walichaguana kuongoza Tz. Ni Utoto sana. Yani Ni aibu. Watu wenye shughuli zao hawaishi hivyo. Rais sio balozi wa nyumba kumi ambaye utakutana naye mkifagia mitaro.
Ni hali fulani ya ushetani kufurahia kifo cha mtu miezi miwili baada ya kuwa ameshazikwa. Halafu humo humo katika furaha yao wanawatukana watu wakiwaita warundi na wasukuma.

Mungu ni mwema na amelipigania hili taifa miaka mingi kabla hawa wanaosambaza ubaguzi hawajazaliwa.
 
Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?

Urais ni taasisi kamili ina vyombo vyake na hata bendera yake.

Serikali nayo ni taasisi yenye vyombo vyake na hata bendera.

Ikulu Kuna bendera 2: ya rais na ya serikali.
 
Nilipoona tu kwa muda wa Wiki sasa Gerson Msigwa ni Mtu mwenye Hasira Hasira nilihisi huenda kuna Jambo alishalihisi.

Jaffar Haniu alidharaulika na Waandamizi wa TBC ila Mwenyezi Mungu akamfungulia mlango mwingine hapo AMG kama CEO.

Kuna Mtu Mmoja ( mkubwa sana ) tu pale TBC najua hivi sasa Roho inamuuma kwani aliyemdharau leo kawa ndiyo ' Boss ' wake mkubwa.

Ninayemuonea Huruma zaidi ni Shaaban Kisu ( Emolo ) kwani alijipendekeza sana kwa Mama amteue Yeye ila 'Kamtosa' mazima.

Jaffar Haniu ni Mtu Mstaarabu, Makini na Muungwana mno. Sifa yake Kubwa ni Upendo na Kuwapigania sana Wafanyakazi.
TRUE kabisa kwa watu wanaomjua Jafari hakuna ulichopindisha hapa.
 
Huyu mama ni hovyoo sana. Anajifanya anajua dini, halafu mznz sana anakopa kwaajjli ya zenji kwa hisani ya zaznz halfu huku wanasema znz ni nchi tena wanasema wanataka code yao.
Kwa hiyo wewe sio mznz? Usipende kuwapa sifa mbaya wengine ili hali we ndo kiongozi mkuu wa hayo machafu
 
Back
Top Bottom