Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hili la wizi linawezekana kwa CCM siwezi kubisha.Hebu acha hizooo Mkuu dhalimu mwendazake alikuwa mwizi alikwapua 2.7 trillions hazina na kugomea uchunguzi huru. CAGs Assad na Kichere waliweka hata kwenye ripoti zao. Alikuwa mwizi, fisadi na mbadhirifu mkubwa kuliko yoyote yule tangu tupate uhuru.
Hii vita bado mbichi sanaMshana ishu so coastal Union tatizo Pamba ya kule kwa wasukuma walileta ushamba wakadhani wanaweza sana mchezo Kumbe master wapo
Tuko milioni 60Kilichomtoa Ndugulile ni nini sasa?
Nikusaidieje sasa!Sometimes unakurupuka mr
Survival of the fittest!View attachment 1935403Kwahiyo msoga bado kashikilia "steringi"?
Hakuna vita hapo mkuu, CCM kwenye maslahi ni wamoja. Beef zinazosemwa haata hazipo, usishangae huyu ndugulile akaja kuteuliwa tena baada ya mwakaHii vita bado mbichi sana
Mzee Mgaya hivi Mawasiliano ni jambo la muungano? Imekuaje makame akateuliwa?Ni jambo jema!
Kama Makamba hafai, anafaa bwanaako au????Mkuu sa iv serikal inaongozwa kutokea sehem nyingne, watu Wana interest za 2025... Bt makamba hafai na haenei kabisa kwenye hicho kiti, ndo ujue Sasa where we are approaching...
Ni wapi alipokurupuka?Sometimes unakurupuka mr
Hili la wizi linawezekana kwa CCM siwezi kubisha.
Kiongozi aweza kuwa mkali huku nje lakini humohumo ndani ya chama watu waiba.
JPM namfananisha na baba mkali kupita kiasi lakini watoto wanaruka ukuta uzuri usiku na waenda kujirusha kisha kurudi alfajiri kimyakimya na wakalala.
Na wenyewe ndio sisíiLeta manenoooo
Chama Cha Mapinduzi kina wenyewe
Mpuuzi wewe,Mkuu tunajadili bila kutukana, Kama hauni tunavyoyumba fumba macho kidg, halafu fumbua utaelewa... Yaan unaona sa iv kila siku teuzi teuzi hakuna la maana sa makamba nae wazir jamani hii nchi inavituko vikuu
Hii fnyia[emoji848][emoji2827]Wavaa vi baibui nao wamoo kwa wingi
WAZIRIMCHAGA NI MMOJA TUUU
BORA HATA MAKAMBA KA ADD KIDOGO MAANA KATOKEYAKANDA YA KASKAZINI...
mwenzio akinyolewa wewe tia majiMwigulu anawacheki hafu anasema hiiiiii baghosha.
Ulitaka ajaze makafiri wenye kuongozwa na chuki?Naona anajaza maislamu kwa Kasi ya mwanga