Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa


Tulishaambiwa CCM ina wenyewe , Sasa ulitaka mawaziri watoke wapi, Maisha wataendelea kupeana wenyewe ulaji
 
Kazi iendelee.

Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?

Ama ndio zamu ya wazanzibari?
 

Attachments

  • VID-20211226-WA0033.mp4
    6 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…