Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini...
Rais Samia anaendelea kuonesha kwamba yeye ni Kiongozi na reformist leader.

Next budget tutarajie VAT kushuka kutoka wastani wa 18% Hadi 15-16%.

Naposema hakuna Kiongozi wa miaka ya Karibuni kumfikia Kizimkazi muwe mnaelewa

20240707_173933.jpg
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini...
Wafanyabiashara wanaolalamikia mfumo wa kodi kili uchwao hawana mwakilishi. Teuzi nyingine naweza kusema ni funika kombe mwanaharamu apite.
 
Walalamikaji wa kodi na tozo walioko field hawapo.Hawa maprofesa wa theory watasaidia nini.Hakuna tofauti na TRA akiona umefungua biashara anaona unapata sana kazi kukubandikia kodi kubwa
 
Sio wa kuvizia mlo wala hawana njaa hao na pia wana elimu zao kubwa tu na watu wazito sana
Ila unatarajia kodi itashuka?
Wewe ndio umekuwa mtoto kwa hasira
Tujadili tu humu kwani ukiwa na jazba utatoka kila mada umefura
kumbe nachati na mwehu nani kakwambia tanzania tunashida ya kodi kubwa? Kariakoo wameandamana sababu ya kodi kubwa ? Mijitu ambayo haijasoma bwana.Tatizo la kodi tanzania ni mfumo ndo maana hii ni tax reform yaan kuweka mfumo unaoeleweka (predictable and clear) mfumo wa sasa haueleweki na wamakisio sana ndo maana unatoa mwanya wa maafisa wa tra kujitajirikia kijinga,mama anataka auweke ili hata la saba ajue kodi yake kirahisi na kutokuwa na document mfano za vat on imports kusiwe na shida .hata wafanyabiashara kariakoo walikiri tra inatoza kodi ndogo sana
 
kumbe nachati na mwehu nani kakwambia tanzania tunashida ya kodi kubwa? Kariakoo wameandamana sababu ya kodi kubwa ? Mijitu ambayo haijasoma bwana.Tatizo la kodi tanzania ni mfumo ndo maana hii ni tax reform yaan kuweka mfumo unaoeleweka (predictable and clear) mfumo wa sasa haueleweki na wamakisio sana ndo maana unatoa mwanya wa maafisa wa tra kujitajirikia kijinga,mama anataka auweke ili hata la saba ajue kodi yake kirahisi na kutokuwa na document mfano za vat on imports kusiwe na shida .hata wafanyabiashara kariakoo walikiri tra inatoza kodi ndogo sana
Sawa sawa umefafanua vizuri
Ila punguza munkar
Unataka kuelezea jambo ila mpaka ufoke
Unamfokea nani sasa, najua unatafuta matusi ila sio tabia yangu hiyo
Ita kila jina ila unaweza kuandika unayojua bila kuitana majina
Nakutakia siku njema na uwe na amani
Ukiwa hivyo utakufa na pressure aisee
Au ndio makuzi hayo
 
Sawa sawa umefafanua vizuri
Ila punguza munkar
Unataka kuelezea jambo ila mpaka ufoke
Unamfokea nani sasa, najua unatafuta matusi ila sio tabia yangu hiyo
Ita kila jina ila unaweza kuandika unayojua bila kuitana majina
Nakutakia siku njema na uwe na amani
Ukiwa hivyo utakufa na pressure aisee
Au ndio makuzi hayo
Munauzi sana kushutumu huku hamjui napata munkar sababu naona unarudisha nyuma juhudi njema ,ukiona jambo hujui uliza uzuri wa jf wako wataalamu wa kila aina ,sawa na ww mtu akuzushie shoga utapuuza,je mwehu atae amua kutangaza huku hana uhakika hutapata bmunkar?
kuwa na siku njema
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mhe. Rais ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms) na kumteua Balozi Ombeni Yohana Sefue, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo. Aidha, wajumbe wa Tume walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Prof. Florens Luoga - Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam;

ii. Prof. Mussa Juma Assad Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Bw. Leonard Mususa - Aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania;

iv. CPA. Aboubakar Mohamed Aboubakar Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU);

V. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar - Mshauri wa Masuala ya Sheria;

vi. Bw. David Tarimo - Mtaalam na Mshauri wa Masuala ya Kodi na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kodi, PwC;

vii. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi - Katibu Mkuu Mstaafu; na

viii. Bw. Rished Bade Kamishna wa Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).


View attachment 3057904
Someni kuhusu human herding and ostracism, mtanishukuru sana, mimi nimeiboresha definition ya human herding kama itawapendeza nitakupeni
 
Munauzi sana kushutumu huku hamjui napata munkar sababu naona unarudisha nyuma juhudi njema ,ukiona jambo hujui uliza uzuri wa jf wako wataalamu wa kila aina ,sawa na ww mtu akuzushie shoga utapuuza,je mwehu atae amua kutangaza huku hana uhakika hutapata bmunkar?
kuwa na siku njema
Kweli kuna watu wa kila aina ila unaelezea bila dharau na hasira
Wala usijali, nimeyaona mengi zaidi ya haya humu
Always be calm
I will never retaliate boss
Again, have a pleasant day
 
wanyonge wanachanga paadiem kwaajili ya kutathiminiwa furushi walilolibeba, hii siyo furushi tena ni lumbesa ova😎
 
Tumezoea kusoma mavitabu makubwa kama Sarkar na Mulla, cha Luoga nadhani ni moja ya vitabu vya kwanza kabisa vya Tax Law, with time nadhani ataanza kutoa editions, na kitakuwa kikubwa zaidi
Hakika msomi,

Lakini hawa kina Luoga wana jipya kweli maana kila mjumbe pale ni mstaafu! Walikuwepo kwenye kila kamati za kitaalam.

Tusubiri tuone.
 
Matumizi mabaya ya kodi
Unatengeneza tatizo kuunda tatizo
Huyo waziri wa faranga apumzishwe
Wasomi uchw
 
Hizi tume, task force, uoembuzi wa kina yakinifu vyote vina gharama kubwa. Tume ya katiba watu walipewa mpaka ma v8 na madereva juu ni gharama kwa common mwananchi
 
Tume ni nzuri, Mamlaka ziwe tayari kuchukuwa hatua stahiki maana mapendekezo ya tume yanaweza kupelekea kuliwa vichwa vya baadhi ya viongozi.
 
Back
Top Bottom