Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

Cray cray country juzi tu ‘bi-tozo’ kaunda tume ya mipango ambae Ombeni Sefue ni mwenyekiti wao (leo tena yupo kwenye tume ya kodi).

Sasa tume ya mipango ulitarajia ifikirie holistic view na fiscal policies sambamba na economic targets zao za uchumi kukuza sector na ku-set realistic goals za tax collection kwa kuzingatia sectorial growth, government operational budget na debt commitments.

Leo tena unaunda tume ya kufanya tax reforms to do give you what new angle of thinking (ishara ya kiwango cha chini ya washauri wa uchumi wa raisi) and guess what Ombeni Sefue nae yupo kwenye tume ya kodi.

The nonsense ya namna Tanzania inavyoongozwa is beyond me, binafsi naanza kuona tulivyo tatizo kwa land locked countries ambazo import na export ya uchumi wao wanategemea ushapu wetu wakati tumelala.

Hakuna civil services imara hapo, na kama hakuna services imara maana yake hskuna usalama wa taifa imara pia.
 
Ukitaka kujua ni nchi ya kipuuzi soma Tax Administration law ya Tanzania na VAT act ya Tanzania.

Halafu sheria hizo andika ‘Tax administration law (weka nchi unayotaka mwisho), tafuta tena ‘VAT Act (weka nchi unayotaka).

Hizo ndio sheria zinzoongoza mamlaka ya kodi ya nchi kufanya kazi (linganisha sheria ya nchi utakayo chaguo na Tanzania uone kama kuna tofauti). Iwe nchi ya first or third world au hata nchi za EAC.

Kwanini hizo sheria zinafanana kwa sababu zipo based on accounting mechanics and auditing process standards za kimataifa.

Nchi Ina wafanyabiashara darasa la saba maswala ya kodi yanawapiga chenga, halafu badala ya serikali kuwakomalia wajifunze ili kufikia standards za kujipanga; wao ndio kwanza wanasikiliza ujinga wao.

Tanzania ni kikwazo kwa maendeleo ya Rwanda, Burundi, Congo, Malawi, Zambia na hata ndani nchi kwa biashara zinazojielewa. Kwa sababu tumejaza incompetent people kwenye vyama na civil services.
 
90% ya mada technical utakutana na michango ya kijinga watu wanaandika mambo ambayo hawaelewi msingi.

The same goes na huko serikalini kwa washauri wa raisi.

Ujinga mtupu, ndio maana nchi ikawa maskini; kwa sababu wanaoingoza hawana uwezo. Hata sijui huko ulaya wanaendaga kusoma nini.
 
Tumezoea kusoma mavitabu makubwa kama Sarkar na Mulla, cha Luoga nadhani ni moja ya vitabu vya kwanza kabisa vya Tax Law, with time nadhani ataanza kutoa editions, na kitakuwa kikubwa zaidi
Hakuna kitabu cha Tax law ambacho ni rigid.

Kiła mwaka Tax rates zinabadilika baada ya government budget.

Kuna vitabu vya tax administration ambavyo inabidi vibadlli formula zao za kufanya tax calculations based on new budget.

Lakini sheria ya VAT administration rarely changes, kwa sababu msingi wake ni auditing.

Ni ujinga mtupu hiyo nchi inavyoendeshwa, over 98% ya wachangiaji wa maswala ya kodi including business people hawaelewi kodi.

Huyo mwenyekiti wa wafanyabiashara kariakoo darasa la saba akupe somo la kodi kweli.
 
Shida ni poor supervision ya wafanyakazi wa TRA kwenye ku-exploit wafanyabiashara wasio na elimu ya kodi na hiyo ni over 90% ya biashara.

Lakini tatizo sio sheria
 
IMG_7533.jpeg


Kodi ni finance act ambayo inabadilika kila mwaka.

Nchi za wenzetu kuna vitabu kila mwezi wa saba kitabu cha kodi kinakuwa updated namna ya kupiga hesabu kwenda sambamba na new finance act.

Accountant yeye anafundishwa mechanics tu za kupiga hesabu, namna ya kutunza evidence, kufanya audit na ndio msingi wa sheria za VAT na Tax administration.

Sasa mijitu ina malalamiko ya kijinga isiyoelewa maswala ya process za kodi na maafisa wa TRA wanaoutmia huo mwanya kujitajirisha na wewe kweli unaamini shida ni sheria badała ya uwezo mdogo wa wafanyabiashara.

Hawa watu hata ukijaribu kuwaelomisha humu kwenye jukwaa wana akili zao tayari hawataki kuelewa, wakati zero kwenye maswala ya kodi.

Ifike hatua serikali Isimame na rules asietaka afunge biashara na kuwa serous kuhakikisha TRA sio sehemu ya kutengeneza wabadhirifu (hapo ndio shida ilipo internal corruption).

Wanaelewa basi kwa akili zao watanzania haya tunayoandika
 
Kwenye hiyo tume, uwakilishi wa wafanya biashara au walioakodi umezingatiwa? Katika hayo majina yote sioni mlipa kidi hapo.

Pili, Je wataweza kuja na mapendekezo ya kitaalam yenye tija hata kama hayatamfurahisha mteuzi wao?

Na mwisho kabisa, mteuzi atakua tayari kufanyia kazi mapendekezo ya tume?

Tukumbuke hapo ni pesa za walipakodi zinatumika. Itakua Bora kama Kuna mabadiliko chanya yatatokea. Vinginevyo, ni upotevu wa rasirimali.

Kila la kheri Kwa tume.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mhe. Rais ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms) na kumteua Balozi Ombeni Yohana Sefue, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo. Aidha, wajumbe wa Tume walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Prof. Florens Luoga - Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam;

ii. Prof. Mussa Juma Assad Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Bw. Leonard Mususa - Aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania;

iv. CPA. Aboubakar Mohamed Aboubakar Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU);

V. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar - Mshauri wa Masuala ya Sheria;

vi. Bw. David Tarimo - Mtaalam na Mshauri wa Masuala ya Kodi na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kodi, PwC;

vii. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi - Katibu Mkuu Mstaafu; na

viii. Bw. Rished Bade Kamishna wa Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).


View attachment 3057904
Kina mama na vijana wametengwa! tume sio jumuishi
 
Nashangaa Waziri wa mahela hayumo
Ingawa ni kama wamekumbukwa tu kwenye mlo
Ukistaafu ipo siku utaitwa tu
Wamekuwa kama wajeda walio standby mda wowote 😄
Utoto punguza ,kwa hiyo prof assad ni mtu wa kuvizia mlo? Kwenye hiyo list kuna mwenye mali chini ya bil 5?miafrika wote tuuawe mjinga sana
 
Bure kabisa!!!

When you run out of ideas, when you’ve hit a dead-end, when you don’t know what else to do, when you don’t have anything to fall back on, you just appoint, appoint, and appoint some more and hope that will solve whatever problems you wish to solve.
True
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mhe. Rais ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms) na kumteua Balozi Ombeni Yohana Sefue, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo. Aidha, wajumbe wa Tume walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Prof. Florens Luoga - Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam;

ii. Prof. Mussa Juma Assad Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Bw. Leonard Mususa - Aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania;

iv. CPA. Aboubakar Mohamed Aboubakar Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU);

V. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar - Mshauri wa Masuala ya Sheria;

vi. Bw. David Tarimo - Mtaalam na Mshauri wa Masuala ya Kodi na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kodi, PwC;

vii. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi - Katibu Mkuu Mstaafu; na

viii. Bw. Rished Bade Kamishna wa Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).


View attachment 3057904
Jambo jema!
 
Watanzania wengi maneno maneno tu na kujifanya wajuaji na kejeri hata katika mambo ya msingi wao hawazingatii,ila wao wanaangalia kachaguliwa Nani ktk uteuzi huo nazaidi hawaangalii uwezo wa aliechaguliwa,bali wanaangalia wadini gani au waupande gani.ktk hii tume ilikuwa ni swala lamuda tu,mabalozi waliopo hapa nchini waliomba kikao na serikali kuhusu maswala ya kikodi na kupitia waziri makamba serikali ilikubali Hilo.hivyo hii tume nizao lamkutano huwo,nawala sio kwasababu ya wafanya bishara.angalizo sina uhakika kama mkutano wa mabalozi na serikali kama uliwahi kufanyika na mabalozi walitaka mkutano huo baada ya malalamiko mengi ya wawekezaji wa kigeni na wakandarasi
 
Bure kabisa!!!

When you run out of ideas, when you’ve hit a dead-end, when you don’t know what else to do, when you don’t have anything to fall back on, you just appoint, appoint, and appoint some more and hope that will solve whatever problems you wish to solve.
True, this administration has run out of ideas to help the people solve their economic problems!
This commission should have been formed before this year’s budget was adopted so that their recommendations could have been incorporated!
Moreover the problems afflicting this administration have nothing to do with revenue generation and collection but poor expenditure supervision and corruption from top to its bottom!
 
Tatizo linaanzia kule zinapotungwa hizo sheria za kodi. Hiyo tume sijui kama itaweza kuleta jambo jipya.
 
Back
Top Bottom