Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Sio cha maana mbona umekiita "kijitabu"Luoga, mwalimu wa Tax Law, UDSM, na kile kijitabu chake, Assad akateme sumu mpaka ziishe, its a good team
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio cha maana mbona umekiita "kijitabu"Luoga, mwalimu wa Tax Law, UDSM, na kile kijitabu chake, Assad akateme sumu mpaka ziishe, its a good team
Hopeless. Hakuna hata mmoja amewahi uza nyanya hapo.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mhe. Rais ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms) na kumteua Balozi Ombeni Yohana Sefue, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo. Aidha, wajumbe wa Tume walioteuliwa ni kama ifuatavyo:
i. Prof. Florens Luoga - Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam;
ii. Prof. Mussa Juma Assad Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Bw. Leonard Mususa - Aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania;
iv. CPA. Aboubakar Mohamed Aboubakar Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU);
V. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar - Mshauri wa Masuala ya Sheria;
vi. Bw. David Tarimo - Mtaalam na Mshauri wa Masuala ya Kodi na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kodi, PwC;
vii. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi - Katibu Mkuu Mstaafu; na
viii. Bw. Rished Bade Kamishna wa Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
View attachment 3057904
Nchi ikiwa na watu aina hii, ambao pekee analofikiri ni kujikimu..na mbaya zaidi wameroga roga hadi kupata kanafasi ka utumishi wa umma..nchi haiwez kufika popote, kila kinachofanyika anzia uteuzi wanachoona kwanza ni kujikimu..teuzi zote ni fursa za kujikimu, hawaoni kingine zaidi ya hicho..na hawa nao wanajikimu kwa kusifia kila kitu na kujaribu kupoteza mwelekeo wa mada!Luoga, mwalimu wa Tax Law, UDSM, na kile kijitabu chake, Assad akateme sumu mpaka ziishe, its a good team
Luoga anasali masjid ipi?Hao ni viongozi wa msikiti?
Jamaa yako hana muda wa kufikiria kabisa. Tujitahidi kuficha upuuziLinapokuja swala la kuandika upuuzi nobody matches you.
Nakumbuka uliwahi SEMA anaweza sana na kuipenda kazi ya kuteua na kutengua. Anatimiza hobby yake.Bure kabisa!!!
When you run out of ideas, when you’ve hit a dead-end, when you don’t know what else to do, when you don’t have anything to fall back on, you just appoint, appoint, and appoint some more and hope that will solve whatever problems you wish to solve.
Ataanza na kitambi cha Pfof AssadSera za Kodi zinatakiwa ziangalie pia Mazingira salama kiafya ya kuhojiana maswala ya Kodi na Ulipaji
Yaani Mfumo wa Customer care uwe kiafya zaidi Ili walipakodi wanawiri
Janabi anajua mambo mengi
Mlale Unono 😀
ni kweli janabi anajua mambo mengi, kuna siku tutamtaiti atuelezee vizuri na sisi tuelewe. Lala unono piaSera za Kodi zinatakiwa ziangalie pia Mazingira salama kiafya ya kuhojiana maswala ya Kodi na Ulipaji
Yaani Mfumo wa Customer care uwe kiafya zaidi Ili walipakodi wanawiri
Janabi anajua mambo mengi
Mlale Unono 😀
Bila kuondoa hiyo kirusi ni kutwanga mai kwenye kinu.Huyo zee la shelui ndio la kutambua tu ndio mambo yatakaa sawa.
Tume gharama tu.