Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Acha kusifiasifia kipumbavu we chalii
 
Mbona Ikulu imesafishwa, kulikoni?
 
Wananchi tutampangia huyo mama Yako majukumu mengine mnamo 2025.
 
Kabisa mkuu.

Kwa mfano yule aliyepelekwa kisarawe alikuwa lumumba baadae jumba jeupe kabla fagio la juzi.

Mtu wa mfumo ana kadi ya chama pendwa na wanajua katiba mpya ndio mwisho wa hizi sarakasi zao, unahisi mkuu watakubali?
Hawatakubali lakini inabidi tuwalazimishe nchi siyo mali ya CCM ni mali ya watanzania
 
Huyo Dr Akwilapo ndiye aliyemtengenezea Magufuli PhD ya Chemistry pale Mlimani wakati huo tukiwa pale naona bado anaendelea kula fadhila, na atakuwa keshasahau organic chemistry yote.
Una uhakika na hilo uliloandika? Au umesimuliwa tuu!!!
 
Kila Mtu na "Maisha Yake"

Kila enzi na "Mambo yake"

"Akili za Watu hizo"

Mtachomoka hata kwenye UTEUZI kitabu gani cha Uongozi tukitumie


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…