Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Nehemia na kafulila itakuwa wamemwaga hela nyingi sana kwa PR team zao. Kwa kweli chawa kazi mnayoifanya tunaiona.
 
Umeanza utoto wako mdogo wangu.
Niambie tija ya hizi teuzi za mara kwa mara? Matinye aliteuliwa kuwa DC baada ya mwezi mmoja akateuliwa kuwa msemaji mkuu baada ya miezi 10 ametolewa, hivi utampima mtu kwa muda mfupi hivyo? teuzi hizi ni gharama kubwa sn kwa walipa kodi, kumteua mtu kuanzia DED/DAS/DC na kwenda juu siyo chini ya milioni 40, je ni sawa na dawati ngapi? tuache uchawa tuongee ukweli.
 
Asante kwa Taarifa
 
Kaa kwa kutulia dogo.kinachoangaliwa ni kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.pia Watanzania ni lazima tujuwe kuwa ukipewa kazi basi fanya kwa bidii na siyo kuleta mazoea kazini.
 
WASIFU WA THOBIAS MAKOBA

Naomba mwenye wasifu wa Bw. Thobias Makoba aliyeteuliwa leo kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali
 

Attachments

  • IMG_20240615_211729_151.jpg
    160.3 KB · Views: 3
Consistency kwenye utendaji inatoka wapi sasa kama kila siku tunateua na kutengua.

Matarijio unayotoa wapi wakati unarotate watu wale wale kutoka huku unapeleka kule.

Incompetency ni Incompetency tu hakuna namna nyingine.
Kama wewe ni mchapa kazi na mbunifu na mwenye mipango mizuri ya kazi,hata ukikaa tu siku moja ofisini watu watajuwa tu kuwa hapa alipita kiongozi mchapa kazi aliyeacha alama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…