Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.

Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.

Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti

Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
na wew vip mwamba wetu wew umeamua kuwa msemaji wa kujitegemea au kuna namna musuri wateuzi wanakucheki?
 
Mkataba wa kuuza Bahari,KIA,Madini,Misitu & Ardhi ya Ngorongoro warasimu wa Ikulu walushindwa kuitetea.
Pia inaonekana kuna siri za ndani zimevuja zikamshtua mhusika. Chunga sana habari alizoandika Mange hivi karibuni. Ziliitikisa ikulu na kinachofanyika sasa naona kuondoa wote ambao ana wasiwasi nao hata iwe kidogo namna gani.
 
Umeona hicho kitu eeeh!
Mwanzoni nihisi huenda ni hisia zangu kumbe ni kitu halisi.
Ikulu inasafishwa kwa kasi ya ajabu kuondoa wakuda wote.

Msingi wa teuzi hizi zote za hivi karibuni huenda umesukumwa na mlengo wa kuondoa 'Watu hatari' ndani ya Ikulu waliokuwa na access to very deep information (Classified) ambazo zimekuwa leaked mara kwa mara.
Hatar
 
"Kikuu kikuu cha Dodoma". Humu JF wenye degree wanaitwa wa ovyo wakikosea tu kuandika. Haya hao hapo sasa wana degree na uzoefu kama wote tena ofisi ya rais. Na ametia na muhuri kabisa....Inasikitisha.
Sio hiyo tu kuna sehemu kaandika MSTAAFU alafu sehem nyingine kaandika MSTAFU.
 
Playing chess need a competent head,never out shine your master n adhore the rules once you enter the house you suppose to remove your shoes.

Mwalimu na Mwanafunzi wake are in a serious war now the last emperor vs the lord rings who will conquer the Throne?

Let wait n see
DS vs DDS🇹🇿
 
Back
Top Bottom