Haya mara nyingi yanatokea pindi hali ya wananchi mifukoni iko hoi bin taabani. Binadamu wakiwa na masononeko kila ateuliwaye watatafuta neno tu kupunguza machungu yao. Swala hata siyo udini ni mtaani hali mbaya. Mambo yangekuwa afadhali mtaani sidhani watu wangepata muda wa ku discuss uteuzi.Ninegundua wakristu wana udini na dhihaka zaidi Kwa waislamu kuliko the other way round
watanzania wenzangu, maichukulie Poa sana hizi sentiments za udini
Na mitandao ya jamii ndio kinara wa hizi propaganda
Sasa hivi kila uteuzi lazima ateuliwe mtu wa mwemberadu au kiembesamaki hivi hizi office wanazoteuliwa zote ni za Muungano ?Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Latifa Mohamed Khamisi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara Tanzania (TANTRADE)
Anachukua nafasi ya Edwin Rutegaruka aliyeteuliwa kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE
View attachment 1909697
Bibi TozoBibi ushungi
Mzanzibar mwenzao tenaRais Samia Suluhu Hassan amemteua Latifa Mohamed Khamisi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara Tanzania (TANTRADE)
Anachukua nafasi ya Edwin Rutegaruka aliyeteuliwa kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE
View attachment 1909697
Awamu iliopita wakristo hawakula?Awamu hii waislamu wanaula
Wana makusanyo yao
Tz utaiweza kweli kwa udini na ukabila, kumbuka enzi za mwendakuzimu, ilikuwa ni kanda ya ziwa tu.Wacha weee,na udini wako binadamu wenzio unawaona kama mavi vile.
Amekua mkurugenzi msaidizi cheo cha pili baada ya mkurugenzi mkuu,hyo CV wala hukutaka ila macho y'all ya moyoni yakaangalia jina na akili yako ikaingiza udini ndani yake.
Ila ni kawaida mbona,Wacha twende hvyohvyo na wapuuzi wachache kama nyinyi
Achana na uislamu wazanzibari,bora tutengane tuAwamu hii waislamu wanaula
Sisi ama wewe?Tuacheni Unafiki hata Sisi Wakristo ( hasa Wakatoliki ) wakati wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tuliula mno tu hivyo tuwe Wapole kwani Kutesa huwa ni kwa zamu.
Toa kafir weka gaidi
Ana shusha wa kutoka kwa sultani
Kufa jiue, mna chuki Sana na uislamu nyie makafiri, mnataka mteuliwe nyie tu,washenzi wakubwa, na mnamchukia Rais sababu ya dini yake dog type nyie
Watanganyika nchi yetu inaporwa hivihivi kwa faida ndogo ya kiusalama inayotufanya tuungane na wazenji.Sasa hivi kila uteuzi lazima ateuliwe mtu wa mwemberadu au kiembesamaki hivi hizi office wanazoteuliwa zote ni za Muungano ?