Umenena unaona yaliyo mpata Makonda na unaona kwa SilaaDoroth Gwajima angekaa hiyoo wizara ya afya, sema mama muoga wa kugawana sifa. Hatakiwi mtu wa kupata sifaa zaidi yake.
Mama hapendi mtu awe frontpage zaidi yake
Lichunguzeni hili kwa umakini!!!