Sheria inasema kama ikivyotekelezwaWaziri wa fedha anafanya kazi gani au sheria inasemaje?
Umeanza Desemba 5, 2021..?!Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)
Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021
Muislamu Mtanzania.Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄
Hii nchi MaCCM mliooifikisha siko kabisa kabisa.
Ndugu na Samia sio ?!Muislamu Mtanzania.
Mmeanza, alishasema hataki "Ukojani, Umakunduchi wala Usukuma gang' ila vijana hamuelewi!😀Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄
Hii nchi MaCCM mliooifikisha siko kabisa kabisa.
Zilongwa mbali zitendwa hovyo..😄😀Mmeanza, alishasema hataki "Ukojani, Umakunduchi wala Usukuma gang' ila vijana hamuelewi!😀
Samia anapuyanga kama Magufuli.Ila huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
Maza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄
Hii nchi MaCCM mliooifikisha siko kabisa kabisa.
Haya mawazo yako ni ya kizamani.Ila huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
Hata kama huyo, katibu tawala alikuwa kitengo.. mbona karushwa sana?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)
Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini
Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria
View attachment 2085964