Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Sioni usawa wowote naona kibibi cha kiarabu kikiteuwa “WAGUNYA”😄😀Mamza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.
Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.
Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.
Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.