Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA

Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA

Mamza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.

Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.

Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.

Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Sioni usawa wowote naona kibibi cha kiarabu kikiteuwa “WAGUNYA”😄😀
 
Huyo jamaa alikuwa mtu mkubwa tu pale mambo ya nje. Nadhani alikuwa mkurugenzi. Sema Jiwe alimtoa na kumtelemsha. Sasa amerudi anakostahili kuwa.
Ila huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
 
Huyo jamaa alikuwa mtu mkubwa tu pale mambo ya nje. Nadhani alikuwa mkurugenzi. Sema Jiwe alimtoa na kumtelemsha. Sasa amerudi anakostahili kuwa.
Kama ni hivyo sawa Mkuu.

Maana kutoka Naibu Katibu Tawala tena Mkoani mpaka Vienna that was a BIG JUMP .....!!
 
Huyo jamaa alikuwa mtu mkubwa tu pale mambo ya nje. Nadhani alikuwa mkurugenzi. Sema Jiwe alimtoa na kumtelemsha. Sasa amerudi anakostahili kuwa.
Kama ni kweli usemayo inatia moyo, maana nchi yetu hii na tunaipenda . MaCCM Mambo ya Umagufuli na Usamia wapunguze. Hayajengi nchi yanaipasua.
 
Umeanza Desemba 5, 2021..?!

Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari[emoji1]

Hii nchi MaCCM mliooifikisha siko kabisa kabisa.
Hii ndiyo nafasi yetu ya dhahabu tuliyoipata ya kuudumisha Muungano wetu. Muda si mrefu tutapata pia Ai Jii Pii Mzenj. Just wait and see.

Shiro si anakaribia kutundika daruga?
 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)

Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini

Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.


Hongera kwa Balozi Mushi, kichwa inafanya kazi sawasawa ile
 
Ila huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
Nani kakwambia katoka chini, soma link hii hapa chini kati ya nyingi; huyu ni master wa kitengo, hadhi ya Ubalozi anayo miaka nenda rudi, amepata kuwa Msaidizi wa Mkapa, Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa WMN na huko Mtwara alipelekwa kwa Mission Maalum

Zaidi msome hapa uache kukurupuka:

 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)

Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini

Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.


Je huyu ni mzanzibari? Mama anawapendelea tanganyika kwenye serikali ya muungano
 
Haya mawazo yako ni ya kizamani.

Kwa mfumo wa serikalini ukisema upande step by step itakuchukua miaka zaidi ya 30 kufika level za juu.

Kuwainua watu kutoka chini kutokana na utendaji kazi wao ndio jambo la msingi.
Na Mushy wala siyo mtu wa chini, ni Balozi tangu kitambo sana

 
Back
Top Bottom