Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA

Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA

Hata kama huyo, katibu tawala alikuwa kitengo.. mbona karushwa sana?
toka msaidizi wa RAS hadi Balozi?
... usisahau "alidhalilishwa sana enzi za kale"; kumbuka (soma vizuri taarifa ya Ikulu) ni balozi aliyeshushwa hadi msaidizi wa RAS "enzi hizo" sasa karudishwa kwenye nafasi yake. So, kwa sasa "hajarushwa" kama unavyodai, bali alirushwa wakati ule kutoka Balozi hadi RAS Msaidizi. Liangalie na hilo pia.
 
Sasa hivi kila uteuzi unakuta kobazi 6 mgalatia 1.
[emoji3][emoji3][emoji3]
20220114_014717.jpg
 
Mamza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.

Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.

Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.

Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Afadhari WakristU hawamo.
 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)

Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini

Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.


MUADILIFU TOKA ZENJ
 
Maza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.

Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.

Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.

Hapo anamuandaa aje awe CG baada ya kidata kustaafu.

Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Ana leta udini
 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)

Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini

Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.


Huyu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)

Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini

Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.


Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
 
Huyu

Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
Hapa katika kubalance dini ama ukabila hakuna awezaye kwa sie viumbe,kila mtu lazima ateue wa upande wake,Mungu mwenyewe anagawa riziki kwa waje lakini hapohapo waja wake haohao aliowaumba bado wanamuona anaubaguzi
 
Maza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.

Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.

Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.

Hapo anamuandaa aje awe CG baada ya kidata kustaafu.

Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Hatutaki maneno ya kibaguzi au yanayoashiria ubaguzi Tz, please !!
 
Mamlaka ya mapato tanzani toka atoke mZee wa EGMS Harry tillya aliyedumu kwa muda mrefu ..walifata Zaid ya sab HV pindu pindua za jiwe asiee had mpngo kawa kamishina
 
Back
Top Bottom