Sioni usawa wowote naona kibibi cha kiarabu kikiteuwa “WAGUNYA”😄😀Mamza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.
Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.
Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.
Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Ila huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
Is there a problem? Mbona tunapenda sana kukuza mambo? Ndio maana sitaki kujihusisha na kazi za umma. Unafiki umetamalakiMuislamu Mtanzania.
Kwani visiwa si vina ZRB au hii TIARAEI inavuka maji pia?Mama ana balance vizuri bara na visiwani
Kama ni hivyo sawa Mkuu.Huyo jamaa alikuwa mtu mkubwa tu pale mambo ya nje. Nadhani alikuwa mkurugenzi. Sema Jiwe alimtoa na kumtelemsha. Sasa amerudi anakostahili kuwa.
Nilikuwa natafuta comment kama hii. Wakati anateuliwa huyu aliyetoka ulisema Mkristo.Muislamu Mtanzania.
Kama ni kweli usemayo inatia moyo, maana nchi yetu hii na tunaipenda . MaCCM Mambo ya Umagufuli na Usamia wapunguze. Hayajengi nchi yanaipasua.Huyo jamaa alikuwa mtu mkubwa tu pale mambo ya nje. Nadhani alikuwa mkurugenzi. Sema Jiwe alimtoa na kumtelemsha. Sasa amerudi anakostahili kuwa.
Hii ndiyo nafasi yetu ya dhahabu tuliyoipata ya kuudumisha Muungano wetu. Muda si mrefu tutapata pia Ai Jii Pii Mzenj. Just wait and see.Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari[emoji1]
Hii nchi MaCCM mliooifikisha siko kabisa kabisa.
Kama ni hivyo sawa Mkuu.
Maana kutoka Naibu Katibu Tawala tena Mkoani mpaka Vienna that was a BIG JUMP .....!!
Hitaji la katiba mpya ndiyo linajidhihirisha kupitia maeneo kama haya.Waziri wa fedha anafanya kazi gani au sheria inasemaje?
Hongera kwa Balozi Mushi, kichwa inafanya kazi sawasawa ile
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)
Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini
Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.
Mzanzibar huyu.Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄
Hii nchi MaCCM mlipoifikisha siko kabisa kabisa.
Nani kakwambia katoka chini, soma link hii hapa chini kati ya nyingi; huyu ni master wa kitengo, hadhi ya Ubalozi anayo miaka nenda rudi, amepata kuwa Msaidizi wa Mkapa, Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa WMN na huko Mtwara alipelekwa kwa Mission MaalumIla huyo Mushy, yaani kutoka Katibu Tawala tena Masaidizi mpaka Balozi Austria ..... ameula kweli. Hata kama ni mtu wa kitengo, watu wanatakiwa kupanda juu step by step .... Hii ya kuwatoa from nowhere na kurusha juu ndiyo matokeo yake tunapata viongozi wa design za akina Makonda na Sabaya.
ZRB.Hao Zanzibar si wana 'TRA' yao jamani mbona mama anazidi kutujazia wakojani?
Je huyu ni mzanzibari? Mama anawapendelea tanganyika kwenye serikali ya muungano
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)
Uteuzi wake umeanza Desemba 5, 2021 akichukua nafasi ya Msafiri Lameck Mbibo aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini
Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria.
Na Mushy wala siyo mtu wa chini, ni Balozi tangu kitambo sanaHaya mawazo yako ni ya kizamani.
Kwa mfumo wa serikalini ukisema upande step by step itakuchukua miaka zaidi ya 30 kufika level za juu.
Kuwainua watu kutoka chini kutokana na utendaji kazi wao ndio jambo la msingi.
Mushy ni balozi tangu kitambo sanaHata kama huyo, katibu tawala alikuwa kitengo.. mbona karushwa sana?
toka msaidizi wa RAS hadi Balozi?