Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA

Hata kama huyo, katibu tawala alikuwa kitengo.. mbona karushwa sana?
toka msaidizi wa RAS hadi Balozi?
... usisahau "alidhalilishwa sana enzi za kale"; kumbuka (soma vizuri taarifa ya Ikulu) ni balozi aliyeshushwa hadi msaidizi wa RAS "enzi hizo" sasa karudishwa kwenye nafasi yake. So, kwa sasa "hajarushwa" kama unavyodai, bali alirushwa wakati ule kutoka Balozi hadi RAS Msaidizi. Liangalie na hilo pia.
 
Afadhari WakristU hawamo.
 
MUADILIFU TOKA ZENJ
 
Ana leta udini
 
Huyu
Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
 
Huyu

Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
Hapa katika kubalance dini ama ukabila hakuna awezaye kwa sie viumbe,kila mtu lazima ateue wa upande wake,Mungu mwenyewe anagawa riziki kwa waje lakini hapohapo waja wake haohao aliowaumba bado wanamuona anaubaguzi
 
Hatutaki maneno ya kibaguzi au yanayoashiria ubaguzi Tz, please !!
 
Mamlaka ya mapato tanzani toka atoke mZee wa EGMS Harry tillya aliyedumu kwa muda mrefu ..walifata Zaid ya sab HV pindu pindua za jiwe asiee had mpngo kawa kamishina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…