Uteuzi: Mcha Hassan Mcha ateuliwa kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA


Wewe ndie umewaza kipumbavu, kwann uangalie teuzi kwa nadharia ya udini!???

Kwani hao unaowaita maustaadh ni raia wa Burundi!???

Tena huyo mteule alikuwa kamishna, ambapo ni moja ya nafasi za juu ktk management structure ya TRA, laiti angekuwa ni fresh from school nadhani ungeandamana ukiwa uchi mpaka Ikulu
 
Umeanza Desemba 5, 2021..?!

Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄

Hii nchi MaCCM mlipoifikisha siko kabisa kabisa.
Wewe jamaa mjinga sana. Kama mzanzibari amekuwa Rais wa lijamhuri lote hilo then ikushangaze mzanzibari kuwa Naibu Kamishna wa TRA?
 
Jamani mambo mengine hatuyaelewi mimi pia nimekaa muda mrefu hapo Vienna nikiwa mwanafunzi na pia nimeishi Jiji la Salzburg huko huko Austria nikiwa mwanafunzi pale Klessheim 1984, 1985, 1986 sijakutana na hayo mambo.....
 

Ulikula Wiener schnitzel mkuu. Au ma Knödel.
 
Jamani mambo mengine hatuyaelewi mimi pia nimekaa muda mrefu hapo Vienna nikiwa mwanafunzi na pia nimeishi Jiji la Salzburg huko huko Austria nikiwa mwanafunzi pale Klessheim 1984, 1985, 1986 sijakutana na hayo mambo.....
Soma uelewe mkuu Wacha kutaka kujulikana kama na wewe umeenda Austria.
Mimi nimeongelea ubaguzi Ujerumani Vienna hakuna shida kabisa very smart city
Isitoshe wewe mtu umekaa Vienna 1984 si almost 40 years
Tunaweza tuka-share Nini mimi na wewe Wenzako bado tunanukia belt za KLM
 
Ebhana eh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…