Yule jamaa much know one time alijimix akasema hata kama unamchukia au umempita akili boss usimuoneshe, ukisoma Cuba akili inakwambia huyu anambeza boss kubwa keshaota mapembe!!
Yule mwingine akamwaga mchele kitaa kuwa tunafunga tu maana refa wetu haina haja kuhesabu kura!! Cha Arusha kilipanda kichwani.
Binafsi nampongeza sana Bimkubwa ila bado kijana mmoja sijui kaponaje, hawa watatu and company wanautafuta ufalme kwa nguvu zote na hawamfai Bimkubwa kwenye safari yake!!
Dawa asafishe wote ataongoza kwa amani, mitano tena!!