Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wa karibu na Nape wameshindwa hata kumtonya jamaa, nasikia dereva wake alikimbia kwenda kulala 😂
20240722_005400.jpg
 
Nape Hana shida ya pesa. Anamiliki kampuni tano za simu.juzi kwa mdomo wake alisema milioni 300 Ni hela kidogo Sana kwake.
Hahahahahah kampuni anazosemea ni hizi zinazotupiga mabando 🤣 unalipa cha weeke unatumia lisaa limoja!

Alimaanisha mgao anaokula kwenye kampuni tano kubwa nchini sasa shughuli ndio imeisha ina maana wanam cut off this time. Gawio hakuna tena lazma kichwa kipagawe ataenda kuomba msamaha kwa magoti.
 
Hahahahahah kampuni anazosemea ni hizi zinazotupiga mabando 🤣 unalipa cha weeke unatumia lisaa limoja!

Alimaanisha mgao anaokula kwenye kampuni tano kubwa nchini sasa shughuli ndio imeisha ina maana wanam cut off this time. Gawio hakuna tena lazma kichwa kipagawe ataenda kuomba msamaha kwa magoti.
Aombe msamaha na kwetu timu jamiiforums maana tulimchachamalia kama hatuna akili nzuri. Ingawa kumuondoa hakumaanishi kuwa CCM watakuwa safi. Alichosema Nape Kiko kwenye mioyo yetu na ndiyo maisha na mipango yao kila chaguzi.
 
Mh.January Makamba na Mh.Nape Nauye, hongereni sana kwa utumishi uliyotukuka sana Serikali kuu ....

mmefanya mambo makubwa mno kwenye wizara mlizozitumikia,
na sasa kwa wakati muafaka ubunifu, ushawishi, maarifa na uchapakazi wenu ni muhimu na unahitajika sana ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM tunapoelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa na baadae mwaka ujao Uchaguzi mkuu....

Asanti na Hongera sanaMh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuimarisha chama na Serikali yako sikivu kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
GACHAGUA the sixth
 
Back
Top Bottom