ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
agiza pop corn.. na kinywaji chochote.. bill kwangu.. hahahaTulia tujionee mengi wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
agiza pop corn.. na kinywaji chochote.. bill kwangu.. hahahaTulia tujionee mengi wangu
Tulia zako wewee huko Ottawa.Duuuh
Wazee wa Goli la Mkono wamewekwa kando.
Najiuliza, kulikuwa na ulazima wowote wa kumstaafisha Mbunge ili kumteua mwingine?
Tunajua Waziri si mtendaji Mkuu wa wizara. Hivyo, ingelikuwa vema yule anayeonekana kufaa angepelekwa kuwa Katibu Mkuu wa wizara husika.
Atakuwa amepelekewa voice note kama kipindi kile cha Magufuli. Hio sio bure maana Nepi boy na Kambakochi wakikaa wanaongeaga upumbavu sanaWala hato anguka, hap jamaa walikuwa na plan zao agaist mama mwenyewe, kama wanavyosema waswahili siku za mwizi ni 40
Jamaa lilikua mbumbumbu sana hiloMzee wa huu kama si usenge ni nini 🤣 naona anaenda ku deal na usenge wake jimboni😁
Rais ni Rais tu. Hata Mzee wa Msoga alimgwaya Jiwe. Saa 100 wala hategemei wazee kuingia jumba jeupe, she has power ataiba kura kama lilivoropoka li Mr milletKwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Sioni faida yoyote ile inayopatikana kwa nchi hii ya Tanzania kutokana na Teuzi au tenguzi za mara kwa mara zinazofanywa na Rais wa nchi hii.
sema dili moko, linatokea kwa kambakochi.. boss akifula kuna mazingira hubadilika ..Atakuwa amepelekewa voice note kama kipindi kile cha Magufuli. Hio sio bure maana Nepi boy na Kambakochi wakikaa wanaongeaga upumbavu sana
Vipi dada wa taifa?Hawezi fanya chochote yupo kwenye payroll ya Abdul. Kuelekea 2025 patawaka moto 🔥
Hahahahahah kampuni anazosemea ni hizi zinazotupiga mabando 🤣 unalipa cha weeke unatumia lisaa limoja!Nape Hana shida ya pesa. Anamiliki kampuni tano za simu.juzi kwa mdomo wake alisema milioni 300 Ni hela kidogo Sana kwake.
Kutokana na hiyo Kurjuan iliyowakuta walioahidiana kuibiana kura au Kuna lingineNmenusirika
Aombe msamaha na kwetu timu jamiiforums maana tulimchachamalia kama hatuna akili nzuri. Ingawa kumuondoa hakumaanishi kuwa CCM watakuwa safi. Alichosema Nape Kiko kwenye mioyo yetu na ndiyo maisha na mipango yao kila chaguzi.Hahahahahah kampuni anazosemea ni hizi zinazotupiga mabando 🤣 unalipa cha weeke unatumia lisaa limoja!
Alimaanisha mgao anaokula kwenye kampuni tano kubwa nchini sasa shughuli ndio imeisha ina maana wanam cut off this time. Gawio hakuna tena lazma kichwa kipagawe ataenda kuomba msamaha kwa magoti.
GACHAGUA the sixthMh.January Makamba na Mh.Nape Nauye, hongereni sana kwa utumishi uliyotukuka sana Serikali kuu ....
mmefanya mambo makubwa mno kwenye wizara mlizozitumikia,
na sasa kwa wakati muafaka ubunifu, ushawishi, maarifa na uchapakazi wenu ni muhimu na unahitajika sana ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM tunapoelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa na baadae mwaka ujao Uchaguzi mkuu....
Asanti na Hongera sanaMh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuimarisha chama na Serikali yako sikivu kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
Yule ni rubber stamp yake ndio maana hamtengui🤣Bado yule wa iramba sijui kwanini anamlea au wanakwiba wote?
Mtoto wa damu kapewa shavu...Boss atatetea tuuWatoto wa boss wameguswa... ngoja tuone itakuaje
Wa wizara ya Maokoto ndio tunasubiria kwa hamu afyekwe😁 maana nae kashatoa boko sanaBado yule wa wizara ambayo inadili na yale mambo yanayopendwa zaidi na wanawake
Bashite,'kuna mawaziri wanafadhili watu kumtukana Rais mitandaoni',,wasipoacha nitawataja'
mama kachunguza kapata majibu.