ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Pole sana ,mshaliwa kichwa 😂😂Kwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ,mshaliwa kichwa 😂😂Kwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Hii Vita ni Kubwa sana Muraaaa 🤣🤣Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana!
Boss anawalea wale kuliko mtoto wake ambae amepandishwa Cheo na kuwa Waziri kamili?Watoto wa boss wameguswa... ngoja tuone itakuaje
Watoto wa Boss wameguswa. .Watoto wa boss wameguswa... ngoja tuone itakuaje
Siku ambazo wahusika hawadhanii, halaf nyundo inakushukia hapo hapoAnapenda kuteua na kutengua siku za weekend usiku
Ngoja tuoneSasa ile vita rasmi ya kutumia mitandao ya kijamii kummaliza chura kiziwi inaanza upyaaa.
Kigogo atafufuka kwa kasi mpya.
Niko palee na VPN yangu.
Tutaelewana tu, tutaoneshana makali.
🙄
🤣🤣Hongera bhanaBado Nipo kwanza
Unawakaribisha wakati wao bado ni wabungeTunawakaribisha uraiani waje waendelee na harakati za kufunga goli la mkono uchaguzi ujayo,Maana haya mambo ndo wanayoyaweza.
Hongera bossNmenusirika
Yani ijumaa waziri, jtatu ushakuwa zilipendwaSiku ambazo wahusika hawadhanii, halaf nyundo inakushukia hapo hapo
Sio rahisi sana mkuu , hesabu zimepigwaKwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Verse yangu pendwa kwenye bible