robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
acha kabisa, silaha za JF ni habari nyingine.Kuna mwamba humu alitabiri haya mabadiliko 🫡🫡
kuna waziri ana damu sio poa. amewekwa pembeni kwa wizara hiyohiyo toka awamu iliyopita. ni muda sasa wa kufanya mambo mengine