rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Itakuwaa kuna wayaa wa Mukubwaaa alikanyagaaaa.. Avumae baharini papa kumbe Wengine wapooo ndo haya sasaa..🤣🤣🤣🤣🤣 ila haya yote ni neema kwa KJWangapi wamepata haki zao? Hata angekaa miaka 20 usingesikia kafika Katavi au Songea unadhani huko hakuna migogoro ya ardhi? alichokuwa anafanya sio kazi zake, hiyo haina tifauti sana na Rais kila mara kuwalipia wagonjwa bill za matibabu,unadhani hiyo ni huruma ya kweli?