Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alikosea sana, bangi aliyovuta ile siku asivute tena.

Kwa hili mama kafanya vizuri, wanaoleta mafarakano sio wa kuvumiliwa.
Usifurahie ukidhani ametupwa, CCM huogeshana na kuvishwa nguo mpya kisha hurejeshwa ukumbini kwa shangwe.
Majina mengi ya mwanzo kasoro Silaa ni warithi wa koo za watawala.
 
Safi Samia,naona mbwa alikuzoea sana,akataka muingie wote msikitini.
Watu wanauliza km kila kitu amefanya Mama Hawa Mawaziri na Wabunge wamefanya nini maana wote wakisimama ni kusemasema tu Mama kafanya Mama kafanya sawa Mama kafanya je! Wewe ukiwa km Mbunge au Waziri umefanya nini? Hakuna? PIGA Chini
 
Kuongea Vipi na Wapi mboni haikuvuma km hii ya Bwana Nape muasisi wa Bao la Mkono na kutolea maelezo jinsi gani linavyokua?
Watanzania tujifunze kutunza kumbukumbu, huyo unayemsifu ni yule aliyewahi kusema " kura wapigieni upande wa pili lakini mjue CCM ndiyo itakayounda serikali", hii haina tofauti na "bao la mkono", je, na yeye ajitengue?
 
Watanzania tujifunze kutunza kumbukumbu, huyo unayemsifu ni yule aliyewahi kusema " kura wapigieni upande wa pili lakini mjue CCM ndiyo itakayounda serikali", hii haina tofauti na "bao la mkono", je, na yeye ajitengue?
Nani ninayemsifu na Wapi nilipomsifu?!
 
Safi sana Mama anaupiga mwingi bado mmoja!
 
Mnawasingizia tu enzi za Magu mlisema Kigogo14 ni Zito na Makamba tena mmehamia kwa Mange??
Yale matusi alikuwa anaandika Junuari kisha anampa dada yake Mwamvita. Naye Mwamvita anayapeleka kwa Mange Kimambi.

Immediately Januari alipopata kazi ya kuwa Waziri wa Nishati, Mwamvita akaacha kazi Vodacom South na kuja hapa nchini. Yeye Mwamvita ndiye mmiliki wa kampuni ya Customer Care inayofanya kazi za TANESCO
 
Sasa kufanya kazi Tanesco kuna shisa gani kama ana deliver?
 
Usiniambie; nadhani habari hii siyo kweli.


View: https://www.youtube.com/watch?v=l1eDuFoVrho
 
britanicca nakuaminia. Kuanzia leo hata ukiandika kuwa mende anatoa maziwa nitakuamini.

Uliandika wiki moja iliyopita kuwa mama akimaliza ziara ya Katavi Nape na Makamba wataondolewa. Na imetokea.

Kabla ya hapo ulitabiri uteuzi wa DGCI Mombo.
Britannica heshima kwake, nadhani yuko karibu na jiko maana anayaona yaliyomo kwenye chungu mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…